How torrents work

Paul S.S

JF-Expert Member
Aug 27, 2009
6,402
3,242
kwanza naomba nikiri jf imenifundisha mengi sana ikiwemo kuacha kuibiwa na mafundi uchwara waliokuwa wananiwekea software kwa bei ya kihuni na baada ya trial kwisha inanidai keys, lakini kupitia hapa nikajua torrents na sasa napata almost software yoyote niitakayo ikiwa na keys zake.

Kuna mambo kadhaa sijajua kuhusu torrents na ningependa kujua.

hivi seeders, leechers na peers nikina nani hasa, nimejaribu kugoogle nimeona seeders ni wanao host file, leechers ni wanaodownload, na peers ni jumla ya wote seeders na leechers.
Ikiwa kama seeders ndio wana host file je hii inamaanisha site husika haina hilo file?
Je nikimaliza kudownload file kila nikiingia online AUTOMATIC namimi nakuwa seeder?
Nakama nikiwa seeder si inamaana na upload file, na kama na upload file ina maana bundle yangu inalika?

Je file linaingiaje katika mzunguko kwa mara ya kwanza kabisa.

Pia je sheria zina semaje kuhusu torrents site

May be maswali yangu yako wrong kwasababu ya kutokujua torrent zinavofanyakazi.
Naomba mwongozo wadau
 
duh hata mi mwenyewe hapa ni great pirate lakini haya mambo huwa yananchanganya sana!!tunaomba maujuzi hapa. ila kwa mm ninavyojua, ukishadownload file tu kwa torrent likajaa...soon unaanza kulishare kwa wenzako(upload-hii ni automatic kwenye torrent) kwa hiyo we unakuwa seeder. Infact file linaweza lisiwepo kwenye website husika lakini lile torrent file ndo mpango mzima...yaani linatumika lile(file sharing system),yaani ukishakidownload kile kinatafuta watu wote wenye file lile na unaanza kushare nao immediate.

Dah mambo ya bundle kulika hayo mi siyajui...!! Uki-download bundle linaisha lakini uki-upload,no idea on that. Wenye maujuzi sasa hivi wataanza kutumwagia hapa. Refresh page every single min,utatoka kinywa wazi kwa kicheko.
 
kwanza naomba nikiri jf imenifundisha mengi sana ikiwemo kuacha kuibiwa na mafundi uchwara waliokuwa wananiwekea software kwa bei ya kihuni na baada ya trial kwisha inanidai keys, lakini kupitia hapa nikajua torrents na sasa napata almost software yoyote niitakayo ikiwa na keys zake.

Kuna mambo kadhaa sijajua kuhusu torrents na ningependa kujua.

hivi seeders, leechers na peers nikina nani hasa, nimejaribu kugoogle nimeona seeders ni wanao host file, leechers ni wanaodownload, na peers ni jumla ya wote seeders na leechers.
Ikiwa kama seeders ndio wana host file je hii inamaanisha site husika haina hilo file?
Je nikimaliza kudownload file kila nikiingia online AUTOMATIC namimi nakuwa seeder?
Nakama nikiwa seeder si inamaana na upload file, na kama na upload file ina maana bundle yangu inalika?

Je file linaingiaje katika mzunguko kwa mara ya kwanza kabisa.

Pia je sheria zina semaje kuhusu torrents site

May be maswali yangu yako wrong kwasababu ya kutokujua torrent zinavofanyakazi.
Naomba mwongozo wadau

Ukiondoa torrents site hii site ni moja ya site inanipatia elimu sana . So unaweza kupata majibu ya maswali yako. HowStuffWorks "Peer-to-peer File Sharing"

Kuhusu maswali mengine psecific kama hayajibiwa kwenye hiyo article ni

Je nikimaliza kudownload file kila nikiingia online AUTOMATIC namimi nakuwa seeder?
Yah ukimaliza kudowload file wewe unakuwa seeder lakini unaweza kustopisha kuwa seeder. Inategeme aunatumia torrent software gani . kama unatumia biitoorent unaweza ku remove file kwenye commpleted. Unapokuwa seeder ni kama unakuwa una uppload some chunks of file .

Nakama nikiwa seeder si inamaana na upload file, na kama na upload file ina maana bundle yangu inalika?

Yes inalika although bandwidth inayokwenda kwa ku appload ni ndogo kulinganisha na ile unayotumika unapo download nakushauri ukimaliza kudowload tu fali litoe kwenye msururu wa torrent


Pia je sheria zina semaje kuhusu torrents site?
Sheria hazina tatizo na torrents sheria zina tatizo na baadhi ya file software na miziki tunayodowload . Mfano kudownload ubuntu through torrent sio kosa lakini kudolwdd Winodws 7 kupitia torrent inawezza kuwa kosa.

Nakushauri pia some FAQ section ya torrotent software unayotumia. ili ujue ni mambo gani unaweza kufanya

So kifupi kama ilivyo TCP hizi software za torrents ni Protocol but zenyewe ni specific kwa kushare mafile kati ya user na ndio maana inatwa p2p yaani peer to peer
 
kwanza naomba nikiri jf imenifundisha mengi sana ikiwemo kuacha kuibiwa na mafundi uchwara waliokuwa wananiwekea software kwa bei ya kihuni na baada ya trial kwisha inanidai keys, lakini kupitia hapa nikajua torrents na sasa napata almost software yoyote niitakayo ikiwa na keys zake.

Kuna mambo kadhaa sijajua kuhusu torrents na ningependa kujua.

hivi seeders, leechers na peers nikina nani hasa, nimejaribu kugoogle nimeona seeders ni wanao host file, leechers ni wanaodownload, na peers ni jumla ya wote seeders na leechers.
Ikiwa kama seeders ndio wana host file je hii inamaanisha site husika haina hilo file?
Je nikimaliza kudownload file kila nikiingia online AUTOMATIC namimi nakuwa seeder?
Nakama nikiwa seeder si inamaana na upload file, na kama na upload file ina maana bundle yangu inalika?

Je file linaingiaje katika mzunguko kwa mara ya kwanza kabisa.

Pia je sheria zina semaje kuhusu torrents site

May be maswali yangu yako wrong kwasababu ya kutokujua torrent zinavofanyakazi.
Naomba mwongozo wadau

Torrents ni peer-to-peer yaani faili linatoka mtu hadi mtu, site ya torrents yenyewe haibebi file unalodownload.
Site inabeba ile initial .torrent file ambayo ina description ya file unalolitafuta.

Tracker inakeep list ya watu wenye file na I.P address zao.

Ukishafungua hiyo .torrent software yako (Utorrent,BitTorrent etc) itaiuliza tracker nani anayo hilo file.

Then unaconnect na huyo mtu mnabadilishana file.

Periodically software yako itaiambia tracker unashare mafaili gani, ili watu wengine waweze kudownload kutoka kwako.

Sio mpaka umalize ndo unaanza ku-upload, unaanza kuapload as soon as una kipande cha file ambacho mtu mwengine anakihitaji, so wewe ni seeder tangu mwanzo.

Ndio bundle lazima ilike.

Ukiwa unabana kuupload wewe unakuwa leech unawanyonya wenzako, na obviously watu wote wakiwa leeches system haiwezi kufanya kazi, kwa hiyo bittorrent inategemea ushirikiano fulani kwenye jamii.

Pia kuna trackers watakublock ukiwa leech.

Mara ya kwanza kuna mtu anakuwa na file na anaamua kulishare, so anaziambia tracker kuwa mimi nina file hili na nataska kushare. (File-> Create new torrent. Kwenye uTorrent).

BitTorrent ni legal ila kuvunja copyright ni illegal, pia kumbuka kuwa I.P address yako inakuwa public unapotumia torrents so kukupata ni kiasi cha kumwuliza ISP wako nani yupo nyuma ya I.P

Pamoja na hayo operators wa Piratebay wamehukumiwa kifungo kwa kuendesha site yao.
 
BitTorrent ni technolojia ya file sharing ambayo ni peer to peer, yaani haitegemei central server kubeba files, file zinatoka kwa mtu hadi mtu mwengine. https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/132819-how-torrents-work.html

Kutumia unahitaji bittorrent client kwa mfano:
http://www.utorrent.com/

Kisha utahitaji kuipata .torrent file ya kitu ambacho unataka kudownload search
Download music, movies, games, software! The Pirate Bay - The world's most resilient BitTorrent site , Torrent Search Engine au site yoyote ya torrents.

Download hiyo .torrent file.

Ifungue kwenye bittorrent client yako.

Kama kuna watu wanashare file basi dowload itaanza.
 
Ukiondoa torrents site hii site ni moja ya site inanipatia elimu sana . So unaweza kupata majibu ya maswali yako. HowStuffWorks "Peer-to-peer File Sharing"

Kuhusu maswali mengine psecific kama hayajibiwa kwenye hiyo article ni

Je nikimaliza kudownload file kila nikiingia online AUTOMATIC namimi nakuwa seeder?
Yah ukimaliza kudowload file wewe unakuwa seeder lakini unaweza kustopisha kuwa seeder. Inategeme aunatumia torrent software gani . kama unatumia biitoorent unaweza ku remove file kwenye commpleted. Unapokuwa seeder ni kama unakuwa una uppload some chunks of file .

Nakama nikiwa seeder si inamaana na upload file, na kama na upload file ina maana bundle yangu inalika?

Yes inalika although bandwidth inayokwenda kwa ku appload ni ndogo kulinganisha na ile unayotumika unapo download nakushauri ukimaliza kudowload tu fali litoe kwenye msururu wa torrent


Pia je sheria zina semaje kuhusu torrents site?
Sheria hazina tatizo na torrents sheria zina tatizo na baadhi ya file software na miziki tunayodowload . Mfano kudownload ubuntu through torrent sio kosa lakini kudolwdd Winodws 7 kupitia torrent inawezza kuwa kosa.

Nakushauri pia some FAQ section ya torrotent software unayotumia. ili ujue ni mambo gani unaweza kufanya

So kifupi kama ilivyo TCP hizi software za torrents ni Protocol but zenyewe ni specific kwa kushare mafile kati ya user na ndio maana inatwa p2p yaani peer to peer

Torrents ni peer-to-peer yaani faili linatoka mtu hadi mtu, site ya torrents yenyewe haibebi file unalodownload.
Site inabeba ile initial .torrent file ambayo ina description ya file unalolitafuta.

Tracker inakeep list ya watu wenye file na I.P address zao.

Ukishafungua hiyo .torrent software yako (Utorrent,BitTorrent etc) itaiuliza tracker nani anayo hilo file.

Then unaconnect na huyo mtu mnabadilishana file.

Periodically software yako itaiambia tracker unashare mafaili gani, ili watu wengine waweze kudownload kutoka kwako.

Sio mpaka umalize ndo unaanza ku-upload, unaanza kuapload as soon as una kipande cha file ambacho mtu mwengine anakihitaji, so wewe ni seeder tangu mwanzo.

Ndio bundle lazima ilike.

Ukiwa unabana kuupload wewe unakuwa leech unawanyonya wenzako, na obviously watu wote wakiwa leeches system haiwezi kufanya kazi, kwa hiyo bittorrent inategemea ushirikiano fulani kwenye jamii.

Pia kuna trackers watakublock ukiwa leech.

Mara ya kwanza kuna mtu anakuwa na file na anaamua kulishare, so anaziambia tracker kuwa mimi nina file hili na nataska kushare. (File-> Create new torrent. Kwenye uTorrent).

BitTorrent ni legal ila kuvunja copyright ni illegal, pia kumbuka kuwa I.P address yako inakuwa public unapotumia torrents so kukupata ni kiasi cha kumwuliza ISP wako nani yupo nyuma ya I.P

Pamoja na hayo operators wa Piratebay wamehukumiwa kifungo kwa kuendesha site yao.
Wakuu nashukuru sana kwa muongozo wenu umenifunia macho, mimi natumia uttorent na mara tu nimalizapo kushusha mzigo na delete katika uttorent completed list, kwa mujubu wa maelezo yenu ni kwamba hapo inakuwa watu wengine hawawezi kuchota kutoka kwangu.
Na hii issue ya kuwa kama unabana tracker wanakublock ikoje, maana mimi nimebadilisha na setting ili ilimit ku upload na idownload zaidi, inawezekana baadae nikawa full blocked.
Nimeuliza hivyo sababu kunamuda naona kama vi mb vyangu vinakata fasta fasta, hata hivyo nilifanya kautafiti kadogo, nilicheck mb zangu kisha nikadownloa kitu nikakuta mb zilizo liwa ni nyingi kuliko ukubwa wa file nililo download
nadhani ukiwa unadownload at the same time unauplod kile unacho download
 
Kama nilivyosema unauplaod as soon as kuna mtu anahitaji kipande cha file ambacho unacho.
Sio mpaka umalize kudownload ndo uanze kuapload, bittorrent unadownload na kudownload vipande vya file. Hii inakuwezesha kudownload file moja kutoka watu tofauti unachukua vipande kisha vinaungwa.
 
Torrents ni peer-to-peer yaani faili linatoka mtu hadi mtu, site ya torrents yenyewe haibebi file unalodownload.
Site inabeba ile initial .torrent file ambayo ina description ya file unalolitafuta.

Tracker inakeep list ya watu wenye file na I.P address zao.

Ukishafungua hiyo .torrent software yako (Utorrent,BitTorrent etc) itaiuliza tracker nani anayo hilo file.

Then unaconnect na huyo mtu mnabadilishana file.

Periodically software yako itaiambia tracker unashare mafaili gani, ili watu wengine waweze kudownload kutoka kwako.

Sio mpaka umalize ndo unaanza ku-upload, unaanza kuapload as soon as una kipande cha file ambacho mtu mwengine anakihitaji, so wewe ni seeder tangu mwanzo.

Ndio bundle lazima ilike.

Ukiwa unabana kuupload wewe unakuwa leech unawanyonya wenzako, na obviously watu wote wakiwa leeches system haiwezi kufanya kazi, kwa hiyo bittorrent inategemea ushirikiano fulani kwenye jamii.

Pia kuna trackers watakublock ukiwa leech.

Mara ya kwanza kuna mtu anakuwa na file na anaamua kulishare, so anaziambia tracker kuwa mimi nina file hili na nataska kushare. (File-> Create new torrent. Kwenye uTorrent).

BitTorrent ni legal ila kuvunja copyright ni illegal, pia kumbuka kuwa I.P address yako inakuwa public unapotumia torrents so kukupata ni kiasi cha kumwuliza ISP wako nani yupo nyuma ya I.P

Pamoja na hayo operators wa Piratebay wamehukumiwa kifungo kwa kuendesha site yao.

Vipi nikidownload Limewire au LimeFrost then nikashare music files (P2P) legally ni kosa?
Sorry nimeenda nje ya topic kidogo lakini nimeona nikuulize sababu you seem to be very knowledgeable ni hivi vimbwanga.
 
Vipi nikidownload Limewire au LimeFrost then nikashare music files (P2P) legally ni kosa?
Sorry nimeenda nje ya topic kidogo lakini nimeona nikuulize sababu you seem to be very knowledgeable ni hivi vimbwanga.

Kushare kitu chochote ambacho hauna haki ya kukishare ni kosa haitegemei unatumia technolijia gani, so kamu huo muziki haujapewa haki ya kushare ni kosa kisheria.
 
Kushare kitu chochote ambacho hauna haki ya kukishare ni kosa haitegemei unatumia technolijia gani, so kamu huo muziki haujapewa haki ya kushare ni kosa kisheria.

Kwa maana hiyo basi hata kudownload Torrents ni kosa?
 
Torrents ni powa kama upo huko kwene internet jungle, ukiwa nchi za watu cheza nazo mbali unless kama unaeza kurisk viza na maisha yako kwa ajili ya torrents. Simply bad news.
 
Torrents ni powa kama upo huko kwene internet jungle, ukiwa nchi za watu cheza nazo mbali unless kama unaeza kurisk viza na maisha yako kwa ajili ya torrents. Simply bad news.

Haya mkuu ahsante. Nitadelete torrents na Limefrost na nitaacha usanii nisijekutana na court order kwenye mail box ama nisijegongewa mlango na wazee wa makoti marefu buree.
 
Duuu!!??? yani siwaelewi kabisa na haya mambo ya Torrent lakn mnaanza kunitisha.mie nimeelekezwa hiyo kwa ajili ya kudownload movies...ina maana ni dhambi?(illegal???)
 
Duuu!!??? yani siwaelewi kabisa na haya mambo ya Torrent lakn mnaanza kunitisha.mie nimeelekezwa hiyo kwa ajili ya kudownload movies...ina maana ni dhambi?(illegal???)
Are u jokin'? sasa ni nani atengeze muvi ya up to $50 mil halafu aweke online watu wa-download bure? nways, unaeza kutumia torrents kushusha mafaili ila wakikuotea kuwa tayari kwa consequences..ni hayo tu bi mkubwa.
 
Acheni woga bana, kabla hawajafika kwako inabidi waanze na wenye hizo site kama ilivyo kwa thepiratebay, huku tupo porini bana
 
Haya mkuu ahsante. Nitadelete torrents na Limefrost na nitaacha usanii nisijekutana na court order kwenye mail box ama nisijegongewa mlango na wazee wa makoti marefu buree.

Wala usiogope huyo haelewi anachoongea kwasababu kutokana na torrent technology inavyofanya kazi ni vigumu kukukamata kwasababu unacho download siyo file la muziki au movie bali torrent (kijipande cha file ambacho ni encrypeted). Kama unadownload p2p sawa lakini kama unatumia bitorrent network wala usiogope kwasababu hiyo siyo centralized system.

Hivi vi-torrent ni vi-millioni vya vipande vya mafaili ambapo ukishavimaliza kuvi-download hiyo bittorrent client inachofanya ni kuviunganisha programatically. Hata ISP hawawezi jua umedownload nini kwahiyo usiwe na shaka labda kama shaniqua ((( LOL )) kaamua kukuchomea la sivyo mambo shega tuu.
 
Wala usiogope huyo haelewi anachoongea kwasababu kutokana na torrent technology inavyofanya kazi ni vigumu kukukamata kwasababu unacho download siyo file la muziki au movie bali torrent (kijipande cha file ambacho ni encrypeted). Kama unadownload p2p sawa lakini kama unatumia bitorrent network wala usiogope kwasababu hiyo siyo centralized system.

Hivi vi-torrent ni vi-millioni vya vipande vya mafaili ambapo ukishavimaliza kuvi-download hiyo bittorrent client inachofanya ni kuviunganisha programatically. Hata ISP hawawezi jua umedownload nini kwahiyo usiwe na shaka labda kama shaniqua ((( LOL )) kaamua kukuchomea la sivyo mambo shega tuu.
Mkuu unahakika wakitaka kuku trace umedownlod nini watashindwa? sidhani kama upo sahihi, nakubaliana kuwa huku kwetu kajamba nani sio issue sana lakini kama ikiwa siriazi wanakudaka mkuu
 
Back
Top Bottom