Help,how to install Window XP and 7 using Flush drive?

Help,how to install Window XP and 7 using Flush drive?

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,537
Reaction score
7,353
Nimejitahidi kuangalia sites mbalimbali via google nimetoka patupu. sasa kama kuna mtu keshawahi fanya hii kitu naomba animwagie maujuzi hapa. Optical drive-cd rom yangu imegoma na sina option nyingine ya kuinstall window XP.

N.B. Nimeinstall linux-ubuntu through pendrive na ndiyo ninayoitumia kwa sasa na kwa msaada tu how to install Linux using flush ni kwamba:
Niliweka live dvd ubuntu(at the time rom inafanyakazi)..kwenye system-adminstration-start up disk creator. Kutoka pale unachagua file lako la OS unachagua tena pendrive-unaformat then unatengeneza bootable OS to the flush. hope nimeeleweka.
 
Nimejitahidi kuangalia sites mbalimbali via google nimetoka patupu. sasa kama kuna mtu keshawahi fanya hii kitu naomba animwagie maujuzi hapa. Optical drive-cd rom yangu imegoma na sina option nyingine ya kuinstall window XP.

N.B. Nimeinstall linux-ubuntu through pendrive na ndiyo ninayoitumia kwa sasa na kwa msaada tu how to install Linux using flush ni kwamba:
Niliweka live dvd ubuntu(at the time rom inafanyakazi)..kwenye system-adminstration-start up disk creator. Kutoka pale unachagua file lako la OS unachagua tena pendrive-unaformat then unatengeneza bootable OS to the flush. hope nimeeleweka.


Umejaribu hii?
Install Windows 7 From USB Drive [Requires 2 Simple Steps]

Key tool utazohitaji ni

Kwa windowx XP inaweza kuwa ngumu hasa kama HDD ni SATA. But uki google zaidi utafanikiwa
 
mmmhhhh kwa njia hiyo hata mimi hayo maujuzi nayasubiri kama yapo
 
akuna kitu hicho lazima iboot from cd ila unaweza fanya installation kwa kupitia networking kwa kushare cd rom drive, lakin kwa kuboot from divece ni ngumu
 
hii ndio naifatilia sasahivi online...bt kama kwa XP itakuwa ngumu tatizo litakuwa palepale!!coz Xp ndio nimeiweka first priority,hii window 7 inazingua bt i need to knw also.

The problem windows XP nadhani haikuwa orginally il designed na option ya boting from USB. Pia na suala la. BIOS kwani mashine yako BIOS version zake zikoje

Anyway endelea kucheki ukifanikiwa utatujulisha kama unataka XP na kama HDD yako ni SATA iitabidi utengeze custom ISO image yenye drives za SATA. Hii tena ni issue nyingine

Uzuri wa Window 7 OS ina generic SATA drive so inaondoa some complication.

Its all depend na hardware specs ulizonazo . jinsi ilivyorahisi kwenye ubuntu inaweza isiwe rahisi hivyo kwenye windows

Kuna nyingine hii hapa ni kwa XP. http://windows-xp.uwish.us/2009/02/09/installing-microsoft-windows-xp-from-usb-device/

Hii nyingine ni instruction za USB kwa windows 7 http://kmwoley.com/blog/?p=345

but I guess wewe ni mtaalam so u have your back ups

akuna kitu hicho lazima iboot from cd ila unaweza fanya installation kwa kupitia networking kwa kushare cd rom drive, lakin kwa kuboot from divece ni ngumu

sio vibaya kuanzia leo ukielewa kuwa with some twiks inawezekana kusintall windows from USB if u have the right hardware. Hata hiyo ya uinstall wenye network inategemea kama BIOS ya mashine inaruhusu.
 
The problem windows XP nadhani haikuwa orginally il designed na option ya boting from USB. Pia na suala la. BIOS kwani mashine yako BIOS version zake zikoje

Anyway endelea kucheki ukifanikiwa utatujulisha kama unataka XP na kama HDD yako ni SATA iitabidi utengeze custom ISO image yenye drives za SATA. Hii tena ni issue nyingine

Uzuri wa Window 7 OS ina generic SATA drive so inaondoa some complication.

Its all depend na hardware specs ulizonazo . jinsi ilivyorahisi kwenye ubuntu inaweza isiwe rahisi hivyo kwenye windows

Kuna nyingine hii hapa ni kwa XP. Installing Microsoft Windows XP from usb device or SD card | Windows XP

Hii nyingine ni instruction za USB kwa windows 7 Kevin's Blog

but I guess wewe ni mtaalam so u have your back ups

Offcoz BIOS yangu inahitaji drive za SATA na tayari nilishazi-extract and i knw how to proceed with it for window XP installation, so hii hainisumbui sana. Sasa kam XP haikuwa designed for USB intallation nadhani nitakuwa nimestack na nisijisumbue tena kufatilia this issue. Otherwise ninategemea mtu ambaye tayari ameinstall successful animwagie maujuzi alifanyajefanyaje.
Bt thanx for wasting/taking ur time on this. Nikifanikiwa nitakujulisha hapahapa.
 
hah!! nimejaribu hii njia ya uNetbootin imegoma....all copying file in USB was successfull lakini nilivyoboot ikaja window yenye maandishi yafuatayo:


UNetbootin

Default

Press [tab] to exit option

automatic boot in 10 seconds...

hafal baada ya 10 sec inarudia tena automatic boot in 10 sec...then inarudia tena na tena ....hata nilivyoprees tab nothing happen....so nimekwama bado
 
Ooopss!!! Finally nimefanikiwa wazee..kwa kutumia SB_MultiBoot_10. Ngoja nkale kwanza. Kama kuna mtu anahitaji maelezo aandike hapa...nitamwaga maujuzi.

Big up sana Mtazamaji.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom