Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kuna sistangu ako iPhone la kichina, sasa amelikorokochoa akajikuta amebadili lugha na kuseti Mandarin. Mara ya kwanza nilibofya kwa kubahatisha nikamrekebishia, sasa nipo mbali nae na yeye hawezi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wana teknolojia wa jf Nina pc yangu inanisumbua, Start button is missing,start and taskbar haifunguki, explorer.exe haifunguki lakini naweza kulogon na kufungua data zangu anuai,kingine...
0 Reactions
2 Replies
878 Views
HELOO jf members Kuna hii kitu inaitwa sonic Wall,Najua ni hardware ambayo inawekwa kwenye gateway for filtering the incoming packets,, Sasa nahitaji msaada mmoja,je kuna njia yoyote ya kuweza ku...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Member wenzangu najua 2 wazima mie langu leo ni kuhsu voda leo asbh nimegundua kuwa wamebadilisha maandish ya mtandao wanaandika kwa herufi kubwa"VODACOM§ TZ" Na pia wameanza kuuptudate mda(saa)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zanguni, naombeni msaada wenu, je ni wapi kwa DSM naweza kuipata miwani hii ili niinjoi zaidi matangazo yanayorushwa kwa 3D?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wana jukwaa faida(jf). Naomba kama kuna member mwenye PROPOSAL WRITING SOFTWARE anisaidie. au anielekeze sehemu ninapoweza kuipata. weekend njema.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
ni hp pavilion Laptop, ukipress power button ili kuswitch on, led inayoindicate status ya laptop kama either ipo ktk sleep mode inablink continuously with no any display of any character ktk...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Kuna laptop ya rafik yangu m1 aina ya toshiba aliniletea nimsaidie kuichek kwan ilikuwa haiwaki kabisa. Nmebahatika kutrace tatizo na nikagundua ni power adapter ndio tatizo. Lakini nilipoiwasha...
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Kuna laptop ya rafik yangu m1 kaniletea nimsaidie kuichek kwan ilikuwa haiwaki kabisa. Nmebahatika kutrace tatizo na nikagundua ni power adapter ndio tatizo. Lakini nilipoiwasha nikaja gundua...
0 Reactions
0 Replies
895 Views
nauliza jaman.Eti sata na hiyo ide katika mambo ya computer ndio nini?
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Jaman za siku,, hivi ni jinsi gan ya kutoa jailbreak ya Iphone 3g... i need help...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
By now everyone has heard about LinkedIn’s spectacular IPO this week, quite possibly the most significant public offering by a Web business since Google. Other Internet companies such as Groupon...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samahani wadau,nimenunua modem ya vodacom lakini naona ni kama wame nifanyia uhuni maana kwenye windows inafanya kazi vizuri ila kwenye linux haifanyi kazi kabisaaaaa! Naomba mwenye kuweza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nimenunua dvd ya imation +R DL 8.5 GB na rafiki yangu kaniwekea data humo lakini alipojaribu kuicheza kwake inafunguka lakini haionyeshi kitu, na nimeichukua na mimi nimejaribu kuicheza kwenye DVD...
0 Reactions
2 Replies
968 Views
Wadau kuna mdogo wangu anaendesha shughuli za kukodisha music katika harusi, disco, mikutano nk, katika kukabiliana na washindani wake ilibidi tutafute pc ili kuboresha na kuvutia zaidi wateja...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
USB MINI Fridge China Wholesale - Everbuying.com This USB Fridge is the only way to keep your drink cold while you are at your computer and it looks cool in any desktop. With this mini fridge at...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
wakuu leo najaribu kuingia kwenye e mail yangu ya yahoo lakini haifunguki ni mimi tu ama nyote?!! nisaidieni watalaamu
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Samahani wadau kuna swala nashidwa kujua pale unapompigia mtu simu afu sauti yake inatoka ikiskika kama ya mzee(kiumri) hivi ni tatizo la simu au network?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samahani wadau kuna swala nashidwa kujua pale unapompigia mtu simu afu sauti yake inatoka ikiskika kama ya mzee(kiumri) hivi ni tatizo la simu,network au kitu gani?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari? Naomba msaada wa kufanya connection ya C# Window form to MS access Database... Nimejaribu ku connect, but kuna error: OleDBConnection not found Ila nimeimport System.Data.OleDb; But...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…