Kuna sistangu ako iPhone la kichina, sasa amelikorokochoa akajikuta amebadili lugha na kuseti Mandarin. Mara ya kwanza nilibofya kwa kubahatisha nikamrekebishia, sasa nipo mbali nae na yeye hawezi...
Habari wana teknolojia wa jf
Nina pc yangu inanisumbua, Start button is missing,start and taskbar haifunguki, explorer.exe haifunguki lakini naweza kulogon na kufungua data zangu anuai,kingine...
HELOO jf members
Kuna hii kitu inaitwa sonic Wall,Najua ni hardware ambayo inawekwa kwenye gateway for filtering the incoming packets,,
Sasa nahitaji msaada mmoja,je kuna njia yoyote ya kuweza ku...
Member wenzangu najua 2 wazima mie langu leo ni kuhsu voda leo asbh nimegundua kuwa wamebadilisha maandish ya mtandao wanaandika kwa herufi kubwa"VODACOM§ TZ" Na pia wameanza kuuptudate mda(saa)...
habari wana jukwaa faida(jf). Naomba kama kuna member mwenye PROPOSAL WRITING SOFTWARE anisaidie. au anielekeze sehemu ninapoweza kuipata. weekend njema.
ni hp pavilion Laptop, ukipress power button ili kuswitch on, led inayoindicate status ya laptop kama either ipo ktk sleep mode inablink continuously with no any display of any character ktk...
Kuna laptop ya rafik yangu m1 aina ya toshiba aliniletea nimsaidie kuichek kwan ilikuwa haiwaki kabisa. Nmebahatika kutrace tatizo na nikagundua ni power adapter ndio tatizo. Lakini nilipoiwasha...
Kuna laptop ya rafik yangu m1 kaniletea nimsaidie kuichek kwan ilikuwa haiwaki kabisa. Nmebahatika kutrace tatizo na nikagundua ni power adapter ndio tatizo. Lakini nilipoiwasha nikaja gundua...
By now everyone has heard about LinkedIns spectacular IPO this week, quite possibly the most significant public offering by a Web business since Google. Other Internet companies such as Groupon...
Samahani wadau,nimenunua modem ya vodacom lakini naona ni kama wame nifanyia uhuni maana kwenye windows inafanya kazi vizuri ila kwenye linux haifanyi kazi kabisaaaaa!
Naomba mwenye kuweza...
Nimenunua dvd ya imation +R DL 8.5 GB na rafiki yangu kaniwekea data humo lakini alipojaribu kuicheza kwake inafunguka lakini haionyeshi kitu, na nimeichukua na mimi nimejaribu kuicheza kwenye DVD...
Wadau kuna mdogo wangu anaendesha shughuli za kukodisha music katika harusi, disco, mikutano nk, katika kukabiliana na washindani wake ilibidi tutafute pc ili kuboresha na kuvutia zaidi wateja...
USB MINI Fridge China Wholesale - Everbuying.com
This USB Fridge is the only way to keep your drink cold while you are at your computer and it looks cool in any desktop.
With this mini fridge at...
Samahani wadau kuna swala nashidwa kujua pale unapompigia mtu simu afu sauti yake inatoka ikiskika kama ya mzee(kiumri) hivi ni tatizo la simu au network?
Samahani wadau kuna swala nashidwa kujua pale unapompigia mtu simu afu sauti yake inatoka ikiskika kama ya mzee(kiumri) hivi ni tatizo la simu,network au kitu gani?
Habari?
Naomba msaada wa kufanya connection ya C# Window form to MS access Database...
Nimejaribu ku connect, but kuna error: OleDBConnection not found
Ila nimeimport System.Data.OleDb;
But...