Kutoka voda!

G M S

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
502
53
Member wenzangu najua 2 wazima mie langu leo ni kuhsu voda leo asbh nimegundua kuwa wamebadilisha maandish ya mtandao wanaandika kwa herufi kubwa"VODACOM§ TZ" Na pia wameanza kuuptudate mda(saa) ya kwnye cm. Sijui wenzangu mna taarifa zingine khs mabadiliko yao haya ya hivi karibuni!!!?
 
Member wenzangu najua 2 wazima mie langu leo ni kuhsu voda leo asbh nimegundua kuwa wamebadilisha maandish ya mtandao wanaandika kwa herufi kubwa"VODACOM§ TZ" Na pia wameanza kuuptudate mda(saa) ya kwnye cm. Sijui wenzangu mna taarifa zingine khs mabadiliko yao haya ya hivi karibuni!!!?

Nami nimeshangaa leo asbh kuona display ya "VODACOM§ TZ"!......niliuliza na kuona kwa wenzangu haikuwa hivo na sijui why??
Labda wengine mnasemaje??
 
Nami nimeshangaa leo asbh kuona display ya "VODACOM§ TZ"!......niliuliza na kuona kwa wenzangu haikuwa hivo na sijui why??
Labda wengine mnasemaje??

hata mimi niliona hivyo lakini saa hii imerudi normal, sijui wanakuja na mpya ipi
 
Mpya niliyonote ni kwamba wanauptudate mda bac maana nilitoa lain kuweka ile voda ya herufi kubwa imesepa!
 
Back
Top Bottom