Wakuu mambo vp? Kwanza nielimisheni YOU TUBE ni nini? Halafu naombeni msaada nifanyeje ili niweze kuangalia video za You tube kupitia kwenye simu yangu aina ya Nokia E61i
Hiyo simu ina real player ambayo inaweza kufungua video yoyote ya youtube, unachotakiwa kufanya ni kwenda katika real player settings na define/weka access point ya mtandao unaotumia alafu rudi ktk browser yako na ufungue file unalotaka kuangalia na real player itacheza hilo file direct.
yah download official application ya youtube from store.ovi.com but utaangalia tu hutasave, kudownload video yoyote ya youtube kwa simu yako nenda vuclip.com utaipata. Ila kua makini kuangalia video online kunahitaji internet yenye kasi kama wifi na 3g pia hula sana data na kumaliza hela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.