Nina simu yangu samsung gt c3212. Je ina uwezo wa kutumika kama modem kwenye pc yangu? Kwani nimejaribu ku install pc studio 3.2 lakini inashindwa kutambua.kama ndio hatua/vitu vipi vya muhimu?ahsante kwa msaada wenu.
Welcome to the club.Kitu kidogo sana.Unapochomeka simu kama haikuletei option ya kui select kama modem,nenda kwenye settings,pc connection,select modem au samsung kies then chomeka tena kwenye computer,fuata wizard ya ku install hiyo hardware.Usisahau kufungulia intanet hapo kwenye samsung pc studio. Have fun.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.