KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Jamani wanaJF wote hamjambo? Ninalileta kwenu hili msaidie kama linawezekana.Hivi ktk simu zetu za mkononi hakuna uwezekano wa ku_divert (kuchakachua) maongezi kati ya mtu na mtu ukaweza kuyasikiliza bila wao kuelewa?Kwa mfano Juma kampigia Ali wanaongea ila wewe Rama unayasikiliza maongezi yao.Jamani hilo linawezekana?