Msaada usb tv tuner plz...!

stanluva

Senior Member
Apr 7, 2009
153
32
Habari zenu wapendwa! Nauliza wapi nitaweza pata Genuine USB TV Tuner kwa Arusha au Dar? Na zinauzwa kwa bei gani kwa pesa za kitanzania? Naomba kuwasilisha!
 
Nena Just computer,Shekilango.Karibu na office kuu za Mohamed trans ni 50,000 tu
 
Habari zenu wapendwa! Nauliza wapi nitaweza pata Genuine USB TV Tuner kwa Arusha au Dar? Na zinauzwa kwa bei gani kwa pesa za kitanzania? Naomba kuwasilisha!

mkuu hii avatar yako dah.. nenda maeneno tajwa hapo juu utazipata.. but kumbuka cheap sikuzote inakuwa expensive
 
mkuu hii avatar yako dah.. nenda maeneno tajwa hapo juu utazipata.. but kumbuka cheap sikuzote inakuwa expensive
Mkuu nimekupata nashukuru sana! Hii avatar mkubwa usiwe na wasiwasi.... ukiona mtu mzima analia jua kuna jambo sio bure!
 
Wasiliana na Axis Computer, Wapo Kariakoo, pia wana tawi pale Posta
Simu 0715 545 3001.
Niliwahi kufanya manunuzi kwao, by then price ilikuwa 40,000/= Tshs.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom