Habar wataalamu!Nina Programu ya Pinnacle studio 10 kwenye PC yangu.Tatizo kila ninapofanya project fulani inashindwa ku save files ambazo zipo tayari kama kazi.Badala yake inaweka ka alama kadogo ka duala ambako kamekatwa na mstali katikati.Je ili niweze ku save kazi zangu nipitie hatua zipi?