G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Samahani wadau mi nimenunua modem ya voda juzi na kila nikitumia nachukua laini naweka kwenye simu najiunga na internet kwa elfu mbili inawahi sana kuisha afu kila nikitaka kudownload naishia njiani salio linaisha na pia katika menu ya modem connection kuna sehemu ya call ambayo ina namba zote kama simu ila kitufe cha kupigia hakifanyi kazi, wadau naombeni mawazo nifanye nini ili nami nifurahie hii modem ya voda ni mambo gani nifanye.nawasilisha kwenu!