Samsung ambayo inatengeneza smartphone za Android, Windows Phone na Bada sasa inamiliki zaidi ya 23% ya soko la smartphones duniani kuishinda Apple ambayo ina 14% ya soko, Nokia ambayo ilitolewa...
Napenda kujua maoni ,experrince na observation zenu kujua ni FAQ ( Frequently asked Questions) gani huwa zinaulizwa sana sana na mara kwa mara kuhusu mambo ya Teknolojia na habari ...
Wadau msaada wa jinsi ya ku configure wireless network katika linux mint natumia laptop aina ya compaq presario cq 61-218EM nimeenda kwa network administrator anasema ameshindwa kuconnect wireless...
wadau naomba kufahamu tofauti ya fm radio station, kuna nyingine ni mono na nyingine stereo. kwa nini kuna hizi tofauti? je kuna faida na hasara ya kila mojawapo?
Habari zenu wana jf! Natumia simu aina ya nokiaN70, je, nawezaje kukonekt ili kureceive email direct kama ilivyo kwenye sms. Natanguliza shukran kwenu wana jamvi
Mambo vipi wakuu natumaini wote ni wazima
nina tatizo kuhusu laptop aina ya lenovo E40
tatizo lake ipo katika lugha ya kichina sasa nimejaribu kuchange iwe ya english nimeshindwa,ila kwenye...
Window-No disk
Exception processing Message 0xc0000013 Parameters 0X760692A00X00000004 0X760692A0
Cancel Try Again Continue
inatokea kila baada ya sekunde kadhaa na...
Automatically Restart Firefox When Memory Usage Exceeds A Limit
Firefox eats RAM, we all know it and accept it as one of those things we can overlook because the browser and its library of...
Automatically Watch & Restart Crashed Processes With ReStartMe
Parental controls, P2P clients, antivirus software, backup and communication tools; almost all of us like to keep these applications...
Computing Building Blocks Created from Bacteria and DNA
TEHRAN (FNA)- Scientists have successfully demonstrated that they can build some of the basic components for digital devices out of bacteria...
Ingia Android market kuna Bible moja hivi (Bible.is), unapata na Audio yake,yaani unaweza kusoma sambamba na kusikiliza,au ukafungulia Ikaendelea kushusha Gombo kwa kimombo saafi kabisa. Pia ina...
Wanajamvi kuna watu wengi wanaexperience slow internet speed kutokana na kuconnect kwenye EDGE badala ya 3G yenye kasi kubwa.Hii inatokana na ukweli kwamba sehemu nyingine hasa mabondeni na mbali...
Wataalamu ninaomba kuuliza kuwa kati ya hizi kozi za computer ni ipi mzuri na inamata duniani na zaid Tanzania kwa mfuatano,,kozi zinyewe ni: Bsc in information technology,,,,B.E in information...
Habari members. Nilishawahi kupata ajali ya gari sababu ya tyre kupasuka kati ya chalinze na segera, Tukiwa na gari aina ya Landcruiser (shangingi) ilikuwa tufe, maana ilibidi tukutane uso kwa uso...
Install Google Earth kama hauna. Google Earth
Download file hii ya Google Earth ambayo ina earthquakes zote eneo la TZ kuanzia 1950 hadi mwezi wa kumi mwaka huu.
HDS111025225104_29293.kml...
Wanajf naomba msaada wenu jinsi ya kupata configuration za internet kwenye blackbelly manake nikijaribu kufungua wananiambia nicontact service provider. Natumia tigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.