Tofauti ya fm mono na stereo

Tofauti ya fm mono na stereo

JAYJAY

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2008
Posts
8,924
Reaction score
9,376
wadau naomba kufahamu tofauti ya fm radio station, kuna nyingine ni mono na nyingine stereo. kwa nini kuna hizi tofauti? je kuna faida na hasara ya kila mojawapo?
 
wadau naomba kufahamu tofauti ya fm radio station, kuna nyingine ni mono na nyingine stereo. kwa nini kuna hizi tofauti? je kuna faida na hasara ya kila mojawapo?

May be sound engineers wanaweza kuwa najibu zuri lakini simple gooogling ya neno Mono Vs Stereo inaweza kukupa jibu.

through googlin nimekutanana maelezo haya yanaweza kukupa mwanga
.....Although it really benefits the coverage of an FM signal to be in mono with the durabilty of being able to listen much further without noise, most of my radios give me the option to listen in Mono anyway if I need to. Also some radios like car radios and the radio in my Sony Ericsson mobile narrow down their stereo seperation progressively as the signal gets worse so that in a distant spot even though the stereo light might still be on, you will effectively only be hearing mono.
Apparently good reception of FM Stereo requires a signal that is up to ten times the strength needed for a good FM Mono signal.

source comment 16 @ Any FM stations still broadcasting in Mono? - Radio - Digital Spy Forums


Pia soma article hii http://www.diffen.com/difference/Mono_vs_Stereo


So kwa haraka haraka nimeelewa mambo mawili kwanza inategemea originator?( Kituo cha radio kinachotangza na pia inatgema receiver yako( Radio)


  • XX FM wanaweza kutangaza kwa Sterero lakini radio yako ikakuruhusu suku tune kwenye mono.
  • XX FM wanaweza kutangaza kwa stereo lakini kulingana na eneo/umbali ulilopo kutoka mnara wa matangazo hata kama ume tune kwenye steroo ukapata mono

 
umeshaelewa maana ya FM stereo?
Kama bado nirudi kukupa mwangaza tena.
 
mkuu swali lako kidogo umechanganya.... coz FM ni kitu kingine kabisa kati ya hivyo vingine... FM (Frequency Modulation) ni technology ya kurusha signal...kama nakumbuka vizuri ni moja kati ya njia nzuri ya kurusha siginal ukilinganisha na AM (AMPLITUDE AMPLIFIER)

Sasa mono ni pale unapokuwa na channel moja tu na stereo ni pale unapokuwa na chanel zaidi ya moja....
 
Mono sauti ni moja so spika ya kushoto inatoa sauti ile ile kama ya kulia. Stereo ni sauti mbili au zaidi so sauti ya kushoto inaweza ikawa tofautio na ya kulia, so kutegemea na kitu unachosikiliza unaweza ukapata effect tofauti kwa kutumia stereo, hii ndo effect ya surround sound ambayo ukiangalia movie mlipuko ukitokea upande wa kushoto kwenye screen na sauti nayo inatokea kushoto etc.
 
mkuu swali lako kidogo umechanganya.... coz FM ni kitu kingine kabisa kati ya hivyo vingine... FM (Frequency Modulation) ni technology ya kurusha signal...kama nakumbuka vizuri ni moja kati ya njia nzuri ya kurusha siginal ukilinganisha na AM (AMPLITUDE AMPLIFIER)

Sasa mono ni pale unapokuwa na channel moja tu na stereo ni pale unapokuwa na chanel zaidi ya moja....
naona umechanganya weye mkuu. kati ya mono na stereo zote ni FM. FM maana yake ni frequency modulation. yaani ni njia ya kusafirisha matangazo ambapo yakifika kwenye reciever au radio yako lazima yafanyiwe demodulation ili upate kusikia saute. stereo maana yake ni sauti inakuwa decoded into two speakers kwa hiyo quality ya sauti inakuwa ni nzuri kuliko moni ambayo ni speker moja.
 
Back
Top Bottom