Wanajf naomba msaada wenu jinsi ya kupata configuration za internet kwenye blackbelly manake nikijaribu kufungua wananiambia nicontact service provider. Natumia tigo
Tuma neno BB30 kwenda 15518 then utapewa maelekezo, ila huduma hii ni prepaid na hutozwa 20,000/= utatumia one month unlimited internet including blackberry downloadable aplications which include facebook, tweeter, blackberry messenger (BBM) na kadhalika unayoweza kudownload kwenye cmu yako kupitia application world
huduma ya tigo ya internet kwa simu za blackberry ni sh elfu 20. unachotakiwa kufanya ni kuingiza vocha ya kawaida ya elfu ishirini. halafu unatuma meseji yenye ujumbe wa BB30 kwenda namba 15518. hapo utakuwa umejiunga tayari. utatumia huduma hiyo kwa mwezi mmoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.