Kwa wenye shida kukamata 3g signals

IrDA

JF-Expert Member
Aug 26, 2010
743
350
Wanajamvi kuna watu wengi wanaexperience slow internet speed kutokana na kuconnect kwenye EDGE badala ya 3G yenye kasi kubwa.Hii inatokana na ukweli kwamba sehemu nyingine hasa mabondeni na mbali na mji 3G signals ni weak(hazina nguvu).
Nadhani hii yaweza kusaidia.

1.KWA WALE WENYE DASHBOARD ZA AIRTEL,TIGO AU ZANTEL
Fungua dashboard yako,mfano mimi natumia airtel so nafungua Zain e-Go
Click tools then options then network then chagua WCDMA ONLY
Hii ni njia ya kuilazimisha modem yako iconnect kwenye 3G network hata kama signals ziko weak
Kwa mimi imenisaidia na spidi yangu imeongezeka

2.KUTUMIA LOCAL ANTENNAE
Modem zetu nyingi hazina sehemu ya kuchomeka external antenna kuincrease signal reception kwahiyo waweza kuweka chombo chochote cha aluminium karibu na modem yako wakati unaitumia na kitafanya kazi kama external antenna.

Ni ubunifu tu wakuu sina guarrantee kwamba itafanya kazi,kwakuwa haidhuru mwaweza kujaribu na kunipa feedback kwa kuniPM au kucomment
 
Wanajamvi kuna watu wengi wanaexperience slow internet speed kutokana na kuconnect kwenye EDGE badala ya 3G yenye kasi kubwa.Hii inatokana na ukweli kwamba sehemu nyingine hasa mabondeni na mbali na mji 3G signals ni weak(hazina nguvu).
Nadhani hii yaweza kusaidia.

1.KWA WALE WENYE DASHBOARD ZA AIRTEL,TIGO AU ZANTEL
Fungua dashboard yako,mfano mimi natumia airtel so nafungua Zain e-Go
Click tools then options then network then chagua WCDMA Prefered
Hii ni njia ya kuilazimisha modem yako iconnect kwenye 3G network hata kama signals ziko weak
Kwa mimi imenisaidia na spidi yangu imeongezeka

2.KUTUMIA LOCAL ANTENNAE
Modem zetu nyingi hazina sehemu ya kuchomeka external antenna kuincrease signal reception kwahiyo waweza kuweka chombo chochote cha aluminium karibu na modem yako wakati unaitumia na kitafanya kazi kama external antenna.

Ni ubunifu tu wakuu sina guarrantee kwamba itafanya kazi,kwakuwa haidhuru mwaweza kujaribu na kunipa feedback kwa kuniPM au kucomment

Mkuu kama ni broadband modem inayo uwezo wa kushika 3G apo lazima utakuta iko selected WDCMA prefered.. na ili kulazimisha unatakiwa

ubadilishe kuwa WDCMA ONLY.
 
Hi mbinu inafaa mahali ambapo 3g inapatikana kwa weak signal, so ukiweka WCDMA PREFERED itachagua EDGE coz signal zake sio tatizo ila ukiweka WCDMA ONLY hatakama signal za 3g zipo weak vipi itaforce 3g ila tu pawepo na signal vinginevyo hupat kitu. So mbinu yako inafaa pale ambapo kuna weak signals za 3g tu so ulitakiwa kuwa specific like that.
 
specific like that.
us.jpg
 
Wakuu kwa uhakika zaidi jaribuni kusearch humu JF 'boost 3g signals' mtapata thread zangu nilizoelezea kwa undani na picha jinsi ya kuboost 3g!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom