kwa mahitaji yako ya pc games kama vile ; CALL OF DUTY BLACK OPS,CALL OF DUTY MODERN WARFARE,FIFA 11,FIFA 12,HALF LIFE 2,NFS HOT PURSUIT 2011,FREESTYLE FOOTBALL SOCCER,NFS MOST WANTED,NFS...
Last week niliomba ushauri juu ya laptop yangu inayopata sana moto ninapokuwa naitumia ikiwa connected kwenye ac power.
Wanajamii mlinishauri vitu vingi tu, nasema asante. Miongoni mwa mambo...
Hello wana JF especially watu wa jukwaa hili.
naomba kupata link ambayo nitaweza ku download ISO Image ya Laptop yangu Dell Latitude E6410, windows 7, 64 bit au 32 bit. hard drive yangu ili crash...
nina shida kidogo kuhusu drivers kadhaa za windows 7,je driver inayohusika na ku-display FN key baada ya formatting ni ipi?,na what drivers do you use kama ukitaka ku=update driver na hiyo driver...
Wadau laptop hii nilikuwa nayo mbali kwa mwezi mmoja hivi sasa nimeikuta imechafuka ina kama michirizi na vidot kama vya maji kuanzia kwnye kioo had hii housing yake JE INARUHUSIWA IFUTA KWA...
Apple CEO Steve Jobs gestures during his unveiling of the iPhone 4 at the Apple Worldwide Developers Conference
Steve Jobs sister Mona Simpson shared in the eulogy she delivered at the late...
Wanajamii, kuna mtu ameniletea receiver ya HUMAX kutoka kampuni ya ADMC Sport ambayo tayari imelipiwa mwaka mzima, lakini bado sijajua aina ya dish, satelite, frequency pamoja na direction Naomba...
mimi sasa naanza kuona side ya 2 ya hii kitu kuwa ni mbaya sana
Jamaaa yangu anasoma mambo ya ICT,kanieleza jinsi anavyoigia kwenye account za watu kila siku isue ni kujua tu email address yako...
nafanya installation ya window 7 ultimate kweny laptop aina ya HP Pavailion dv3 inamaliza vizuri mpaka mwisho ila pana tatizo moja graphics au maandishi yanakuwa makubwa inakuwa kama driver za vga...
Nimetuma Ps3 Game moja kutoka ebay..lakini kwenye BOX sijaiona nadhani niende kuchukua wapi parcel??
kama Posta ipi? na pia ninayo tracking number.je nikiwapa tracking number watanisaidia...
Communication, Science and Technology minister Prof Makame Mbarawa ( picture below) yesterday launched a state-of-the-art communication and information technology centre, dubbed ‘TANZICT and...
Jamani mwenzenu kila nikijaribu kufungua accoun yng ya gmail kupitia google napata msg hiyo hapo chini lkn web zingine zinafunguka naomba msaadakwa wenye utaalam
This webpage is not availableThe...
Mimi ni kijana nina umri upatao miaka 20,ninasoma B.Sc IT nchini India ikiwa ndo semester yangu ya kwanza.Kuanzia nimefika chuoni nimekuwa na tatizo kubwa sana kwenye somo la programming na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.