Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
mimi sasa naanza kuona side ya 2 ya hii kitu kuwa ni mbaya sana
Jamaaa yangu anasoma mambo ya ICT,kanieleza jinsi anavyoigia kwenye account za watu kila siku isue ni kujua tu email address yako tu.
nimebishi lakini kumtajia tu email adress ameingia kweli,nimebadilisha password lakini wapi?
Funzo hapa ni ,Acha kabisa kutumia email katika mambo ya siri!
Swali hapa ni kuna namna ya kukwepa jambo jili?
Jamaaa yangu anasoma mambo ya ICT,kanieleza jinsi anavyoigia kwenye account za watu kila siku isue ni kujua tu email address yako tu.
nimebishi lakini kumtajia tu email adress ameingia kweli,nimebadilisha password lakini wapi?
Funzo hapa ni ,Acha kabisa kutumia email katika mambo ya siri!
Swali hapa ni kuna namna ya kukwepa jambo jili?