GanaJr
Senior Member
- May 26, 2020
- 109
- 172
Habari wakuu, poleni na majukumu ya kila siku.Mungu aendelee kutupigania katika harakati zetu ili tuweze kufanikiwa.
Twende kwenye jambo lenyewe sasa. Wakuu mimi nina kiasi cha hiyo hela nataka kununua simu hivyo nimeona nilete hili wazo humu ndani nipate ushauri mzuri kutoka kwenu. Simu ninayotaka nataka iwe na vigezo vifuatavyo
_display nzuri
_uwezo wa kukaa na chaji angalau Masaa kumi kulingana na kazi ninayofanya.
_Camera nzuri
_storage angalau ianzie 128gb
_Ram angalau pia ianzie 6gb
Karibuni kwa mawazo hapo, najua humu Kuna watu wazoefu wa haya mambo hivyo naombeni ushauri hapo.
NB, nataka mpendekeze android mobile phone maana huko upande wa pili yaani ios si mshirika maana na kwa hiyo bei niliyo nayo siwezi Pata hata iPhone X iliyo kwenye ubora mzuri.
Natanguliza shukrani.
Twende kwenye jambo lenyewe sasa. Wakuu mimi nina kiasi cha hiyo hela nataka kununua simu hivyo nimeona nilete hili wazo humu ndani nipate ushauri mzuri kutoka kwenu. Simu ninayotaka nataka iwe na vigezo vifuatavyo
_display nzuri
_uwezo wa kukaa na chaji angalau Masaa kumi kulingana na kazi ninayofanya.
_Camera nzuri
_storage angalau ianzie 128gb
_Ram angalau pia ianzie 6gb
Karibuni kwa mawazo hapo, najua humu Kuna watu wazoefu wa haya mambo hivyo naombeni ushauri hapo.
NB, nataka mpendekeze android mobile phone maana huko upande wa pili yaani ios si mshirika maana na kwa hiyo bei niliyo nayo siwezi Pata hata iPhone X iliyo kwenye ubora mzuri.
Natanguliza shukrani.