Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu salaam Kama kawa mishe zinaendaje huko? Wakuu nani anaweza kutumia function ya VBA vizuri kwenye excel? Katika kujifunza baadhi ya tutorials za Excel Youtube nikakutana na hicho kitu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekuwa mtembeleaji wa hii forum kubwa kabisa nchini Nigeria kama sio Africa kwa miaka mingi sana sasa Kinachonishangaza ni kwa nini hawataki kuifanyia mabadiliko ya kimuonekano kama...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habarini wakuu.. Kuna hilo Jambo ambalo lipo na limetokea Kwa wengi ambapo unajiunga kifurushi aidha Kwa tigopesa au salio unakatwa pesa tigo wanarudisha msg kuwa tayar wamekuunga halafu kumbe...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Kenya kesho wanazindua na kurusha Satellite yao walioipa jina Taifa-1 na ikumbukwe Kenya wana Laptops na desktops zao zinaitwa taifa. Tanzania haieleweki katika uga wa elimu,katika ukuaji wa...
0 Reactions
1 Replies
543 Views
Nataka kutumia sd card kwenye radio iliyokuja na gari (original) lakini nikiinsert napata mesage kuwa sd card haiko compatible na hiyo radio nataka kujua hizi sd card ziko tofauti tofauti? Mbona...
2 Reactions
7 Replies
675 Views
Habari wanajamvi, nahitaji kujua Kwa hapa Tanzania wap wanafundisha kutengeneza canvas pictures na wallpaper za majumbani. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
5 Replies
517 Views
msaada wenu wakuu. nahitaji link ya kudownload torrent itakayoniwezesha kuidownload hii windows10 image bila shida. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
iPhone XR 128gb clean no problems , True Tone na Face ID . Battery 89% charge full day ni wewe . Price : 500k Reasons for sale : upgrade Ila ni simu nzuri Sana Comes with og usb charge...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu kwenye mahangaiko ya uwekezaji nkakutana na hii kitu inaitwa 5glife hawa bwana idea yao ni kwamba una invest base station na cycle kwa siku 60 base ya 18k ina rotate 60k kwa 2months Yan siku...
0 Reactions
16 Replies
995 Views
Wakuu habarini. Majuzi nilinunua Speaker za Logitech 5.1 hizi speaker mwisho zina pins 3 (Nyeusi, Orange na Kijani) hizi Pins zina Size ya pins za PC headphones / EarPhones. Halafu nikanunua...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Naombeni kunijuza izo picha mbili chini ni tofauti lakini zinatoa information ya kitu 1 yan ni hivi ninasimu ya Oppo A 83 ambayo storage ya ndani inaonesha 128GB ram6 lakini ukiingia gsmrena...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nipo ofisini katika kampuni fulani. Ninapitia wakati mgumu sana kwani meza yangu ipo angle mbaya sana. Boss wangu ambaye ni CEO wa kampuni anaona kila kitu nachofanya kwenye PC...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Siku hizi mambo rahisi sana. Si mpaka uanze kutengeneza app from scratch. App karibu zote wahindi wametengeneza na wanaziuza. We chakufanya nunua tu na IT akuwekee sawa. Kutengeneza wanachukua...
4 Reactions
8 Replies
704 Views
Jamani nahitaji kufahamu, nina simu ya Oppo A83 ina Ram6 na storage 128 lakini kinachonishangaza ukidawnload fail la file manager linakuonesha 64GB ndo storage, sasa sijaelewa hapo nisaidieni wajuzi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari zenu wakuu Natafuta hiyo routor ya Alcatel Linkhub HH41 inatumia sim card kama kuna mdau Anajua duka linalouza anijuze nimetafuta sana kariakoo na posta hakuna mi nipo Dar-es-salaam
0 Reactions
0 Replies
298 Views
Naomba kuuliza, kwa aatumiaji wa simu. Hivi kuna watumiaji wa simu wanapata raha ya display zaidi ya sisi tunaotumia infinity display ya samsung? Jamani tunaotumia hizi infinity display ya...
9 Reactions
199 Replies
27K Views
Nahitaji mwalimu mwenye ujuzi wa kufundisha moja ya software platform for professional product design and manufacturing. Base: dar es salam Module of Institution: startup Kwa aliye na sifa dm plz
1 Reactions
0 Replies
497 Views
Jamani naombeni ushauri nina biashara ya juisi nataka kununua fridge, nishaurini fridge gani linaweza kua zuri na lisilokula umeme sana la dukani au mtumba, ya mtumba bei yake ni affordable...
0 Reactions
1 Replies
662 Views
Nambie YouTube ilikusaidia Nini na ukalitatua tatizo lako kupitia YouTube? Chuo walikuwa wananiita Mr IT sababu nilikuwa vizuri Sana kwenye kuchezea cm,pc nk maujanja yote niliyapata YouTube na...
22 Reactions
63 Replies
4K Views
Salaam wana jamii tech, Naombeni ushauri ni laptop gani Brandnew naweza pata kwa bei isiyozidi 950k ambayo ina vigezo hivi RAM 4GB PROCESSOR COi 3 walau kuanzia generation ya 6 HDD kuanzia...
3 Reactions
130 Replies
15K Views
Back
Top Bottom