Hio ninayo hata mimi, kuifungua ni kwa muda tu (temporary) sijaona hadi sasa mbinu ya moja kwa moja...
Ntakuwekea software yake nikiwa karibu na laptop
Najuta kununua hizo za airtel, zile za tigo nadhani zinafunguka moja kwa moja
Edit: Software
>> hii hapa <<
Matumizi yake.
Chomeka line yoyote ambayo sio ya airtel
washa modem kisha iconnect kwa waya wa usb kwenye pc
Inabidi tuingize drivers, fungua device manager (minya search andika device manager), chini ya "ports" utaona kuna "Mobile AT interferace"
View attachment 2433965
Right click hapo, chagua update drivers, minya browse computer
View attachment 2433959
Minya browse, ingia kwenye folder kuu la "MiFi Tool & Drivers" kisha chagua (sio kufungua) folder la "LTE_MIFI_Generic_Driver" then minya "ok". hapo drivers zitaingia.
Fungua software,, hii sehemu niliyozungushiwa inabidi isiwe tupu, kama ni tupu minya ??? ili isiwe tupu
View attachment 2433976
Ingiza imei yako, kisha minya kitufe cha pembeni yake, baada ya hapo minya hio sehemu ambao mouse ipo, yatatokea maandishi ya unlock success. (ikikataa ingiza imei, mac na sn alafu minya kila kitufe cha pembeni ya imei, mac na sn kisha minya kitufe amacho mouse ipo)
View attachment 2433985
maneno yatayokuja ni ulock succesful
Sasa unaweza kutumia line ambayo si ya airtel, waweza kuuchomoa waya pia ili utumie wifi.
ukiachana na kuingiza drivers ambayo ni zoezi la mara moja, Zoezi hili utarudia kila mara ukiwasha modem endapo ina line ambayo si ya airtel.
Binafsi hili zoezi kwangu huwa halizidi hata sekunde 30, kwenye desktop nina file la imei ambazo nazi copy,, nafungua software nazi paste, na unlock chap chap, nachomoa waya natumia wifi
View attachment 2433990
kama kingereza kinapanda fata maelezo
>> haya << kuanzia hatua ya 10, ndiyo niliyoyatumia ku unlck modem yangu.