Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Facebook ikiwa ni nyumba ya online kwa mamilioni ya watu duniani, hivyo mabadiriko yanayotokea kwenye facebook ni dhahiri yanaathiri kwengi wetu. Katika siku za karibuni Facebook wamekuja na kitu...
6 Reactions
28 Replies
3K Views
mitandao ya mawasiliana ya simu wakimbia kwenye mdahalo.hawaja tutendea haki wateja wao.kipindi ni kizuri fuatilia kwa kina zaidi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye kufaham naomba aniambie hii ni namba ya namna gani. imekuwa ikipiga kwenye namba yangu ya tigo mara kwa mara na siku tatu hz naona ni kila siku jioni, leo imeita asubuh. kinachonishangaza...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanajamvi wa jukwaa la sayansi na technologia, nimekuwa nikisikia kuwa, kuna mafriji ya Feni na Coil, hivi nini tofauti yake....??? kwani nilipochimba kwenye mtandao on how these stuffs works...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina server ya dell poweredge 1800 ilizima ghafla na baadae ikawa inabrink rangi kama ya njano hivi kila nikijaribu kuangalia tatizo silipati na mara ya kwanza ilifanya hivyo na baadae ilirudi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I have a dell computer optiplex 520. It is not booting, keeps on blinking nothing on the screen. Can any one help please
0 Reactions
5 Replies
1K Views
mimi kwa sasa nipo dar maeneo ya yombo buza ,huku intanet ya airtel ipo slow mno yaani ni kama hamna 2!je tatizo ni hii moderm au eneo?kwani hapa dar mtandao usumbue?nimejaribu zantel ni gusa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu mashine hiyo imezima kabisa na haitaki kuwaka baada ya ku-update BIOS. Aliyewahi kukutana na tatizo kama hilo tafadhali nisaidieni ufumbuzi wa tatizo kama hilo! Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna mtu anaweza kunipa msaada namna ya kujiondoa kwenye google search result let say kama unatitwa hamisi juma mtu akiandika asipate results zenye jina lako
0 Reactions
19 Replies
3K Views
:nerd:PYTHON PROGRAMMERS PYTHON PROGRAMMERS - JamiiForums | The Home of Great Thinkers Am inviting coders with experience in Python programming and anybody out their interested in learning Python...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii mashine 'Computer desktop Dell' nilikuwa nimeituliza bila kuiwasha kwa miezi karibu mitatu sasa. Leo nimeiwasha naona Screen yake inaleta chenga na mawimbi ya kufa mtu. Naona picha...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
@Mods, uzi mtauweka kwene jukwaa muonalo linafit zaidi, mkipenda Baada ya kuchoka na spidi za 'unlimited' za 0.00 kps za Voda niliamuaga kuhamishia majeshi huku Sasatel, kwa sababu mie ni mtu wa...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu niko kwenye NGO ya kuwawezesha watoto (YOSSO) na nahitaji kuiboresha design ya hii blog yetu iwe na muenekano kama wa blog hii (KILI CHILD EMPOWERING FOUNDATION (Kicef.)). Yaani iwe na pages...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba ndugu zangu mnijulishe aina nyingine za Ving'amuzi vizuri maana hiki cha star times kimezidi MIKWARUZO.Mwanzoni kilikuwa safi,mara wakabadilisha Package,UHURU{ 18000} na MAMBO{...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Computer yangu haifungui website ya jamiiforums, nyinginezo ziko vizuri! Hii imekuwaje?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hivi karibuni Laptop yangu hai detect Sony Camera yangu kwa kutumia USB cable ambapo siku za nyuma ilikuwa ina detect. Kuna picha nataka kuzihamisha. Nimetumia card reader pia lakini sijafanikiwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika pitia pitia zangu katika web page tofauti tofauti youtube ikiwa moja wapo nimepa idea ya kuinstall android operating system kwenye computers...nikahisi litakuwa si jambo baya kama nita...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Experiments by researchers in Argentina have suggested that using wifi-connected laptop computers could affect male fertility. In simulated tests, the sperm of 33 volunteers was negatively...
0 Reactions
1 Replies
892 Views
msaada katika wireless network kwenye samsung galaxy mini proxy&port na static IP
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…