Mutta
Senior Member
- Mar 24, 2011
- 101
- 11
Naomba ndugu zangu mnijulishe aina nyingine za Ving'amuzi vizuri maana hiki cha star times kimezidi MIKWARUZO.Mwanzoni kilikuwa safi,mara wakabadilisha Package,UHURU{ 18000} na MAMBO{ 9000}.sijatumia TING hivyo sijui ubora wake.Kama umetumia nijulishe hasa kwenye LIGI ya UK{ EPL}.kama kuna King'amuzi ambacho kinaonesha Epl nisaidie.Sina uwezo wa kulipia 12000 za DSTV.