Wakuu kwema,
Niende kwenye mada. Ni usiku mnene nikiwa sina hata lepe la usingizi nikiwa natafakari mambo mawili matatu tunayopitia wana wa Adam.
Sasa kama binadamu na mmiliki wa Dunia kijiji...
Naweza kufanyaje hapa kurudisha namba yangu kwenye mfumo?
Nimepoteza groups,na kumbukumbu nyingi tu, kubwa zaidi namba hiyo ndo namba yenye mambo mengi Sana ya muhimu.
Wadau, kuna mahali nataka niende niache ofisini sipatikani. Tatizo ni kwamba bado nataka niwe hewani kwa watu wengine wote, iwe tu namba za ofisini ndio hawanipati. Najua kuna uwezekano wa call...
Ulivyokuwa na Miaka 14 ulikuwa wapi? Mjue Kairan Quazi, Mfanyakazi wa Elon mwenye Umri mdogo
zaidi
Genius huyu ameteka vichwa vingi vya Habari baada ya kupost kwenye ukurasa wake wa Linkedin kuwa...
𝗨𝗻𝗮𝗶𝗷𝘂𝗮 𝗚𝗮𝗹𝗮𝘅𝘆 𝗤𝘂𝗶𝗰𝗸 𝘀𝗵𝗮𝗿𝗲 ??
Kuhamisha kitu toka kwenye simu yako ya Samsung kwenda kwenye kifaa chingine ambacho ni Simu au kompyuta unajua ni rahisi sana ? Najua ulikua hujui.
Watumiaji wa...
Wakuu kwema?
Naomba msaada wa excell.
Naandaa template ya matokeo kwa shule za MSINGI.
Sheet 1 nimeweka kwaajili ya kujaza alama.
Sheet 2 nimeweka sehemu ya matokeo,yaan madaraja ya kila...
Nyota ya Mtanzania, Gibson Kawago imeendelea kung’ara baada ya kutajwa katika kinyang’anyiro cha kuwania tuzo ya ubunifu katika uhandisi Afrika inayoratibiwa na Chuo cha Uhandisi cha Uingereza -...
Wakuu habari, nahitaji kununua TV kwa ajili ya biashara ya kuonyesha mpira Sasa wakuu nauliza TV gani imara na nafuu kwa ajili ya biashara ya mpira banda la kuoneshea mpira.
Sent from my Infinix...
Nimekuwa nikitumia account yangu ya Telegram lakini hivi karibuni wamenizuia kupost kwa groups lakini kutuma kwa individucal ambao nime save namba zao hakuna shida. Tatizo ni kwa groups, ukitaka...
𝗞𝗮𝗺𝗽𝘂𝗻𝗶 𝘆𝗮 𝗠𝗲𝘁𝗮 inasema muda sio mrefu itaachia feature mpya kwenye Whatsapp ambayo inaitwa Channel, hii ni kama vile broadcast channel kwenye Instagram.
Whatsapp Channel ni feature mpya yenye...
Nataka kununua Simu ndogo Simple, Nimeitumia Hii 3310 New Model nakuikubali sana tangu 2017, sasa naona muda imechakaa nataka simple nyingne Feture Phone. Je kuna toleo jengne kali kupta hii au...
Habar wakuu, kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu
Nimekuwa muumini mkubwa sana wa whatsapp plus kwasasa nina week tsup yangu ime expire inadai version mpya sasa kila niki download...
Wakuu Naombeni Msaada kwa anejua nawezaje kuapata Microsoft Flight Simulator Games. Au kama kuna mdau anazo/anayo. Nimeziona za Ku downloads na Hard copy(cd) Bei ni Balaa. Tafadhali wadau.
Nimekwama sana mwanajamvi mwenzenu, nashida ya DIGITAL CAMERA kwa matumizi ya picha sio video. Je, ni aina ipi ya camera mzuri kwa matumizi za bei kati ya 100,000 mpaka 600,000?
Pia kama nanunua...
Mwenye maujanja jamani ya kuweka password kwenye sms bila kutumia applock yeyote ile anijuze.
Nimeandika sababu kuna mtu akishika tu cm yangu huwa anapenda sana kusoma sms zangu.
Cha ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.