Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 859
- 1,012
Nimekwama sana mwanajamvi mwenzenu, nashida ya DIGITAL CAMERA kwa matumizi ya picha sio video. Je, ni aina ipi ya camera mzuri kwa matumizi za bei kati ya 100,000 mpaka 600,000?
Pia kama nanunua camera used kipi na kipi cha kukizangatia? Na pia kama nanunua mpya kipi na kipi cha kukizingatia pia?
Pia nahitaji hata kamera used kwa hiyo bei yaani kati ya 100,000 mpaka 600,000.
Location: Dar, morogoro, Mtwara na Pwani.
Pia kama nanunua camera used kipi na kipi cha kukizangatia? Na pia kama nanunua mpya kipi na kipi cha kukizingatia pia?
Pia nahitaji hata kamera used kwa hiyo bei yaani kati ya 100,000 mpaka 600,000.
Location: Dar, morogoro, Mtwara na Pwani.