Msaada wa Excell

Aug 19, 2022
36
34
Wakuu kwema?

Naomba msaada wa excell.

Naandaa template ya matokeo kwa shule za MSINGI.

Sheet 1 nimeweka kwaajili ya kujaza alama.

Sheet 2 nimeweka sehemu ya matokeo,yaan madaraja ya kila somo,jumla na kadhalika.

Sheet 3 Nimeweka kwaajili ya rank,yaan aanze mwenye alama kubwa kwenda ndogo

Sheet 4.....5....6....

Tatizo lipo hapo kwenye rank....nashindwa kuweka fomula ya kupanga wanafunzi kwa kuanza na mwenye alama kubwa kwenda ndogo....ifanye excell yenyewe na sio kuja kufanya manually baadae....msaada tafadhali!
 
Mkuu kuna. Sheet, columns na cell
Sheet huwa ndo imebeba columns na cell
Columns huwa ndo ile mistari ya kutoka juu kuja chini
Cell ni ile mistari ya kutoka kulia kwenda kushoto
 
Wakuu kwema?

Naomba msaada wa excell.

Naandaa template ya matokeo kwa shule za MSINGI.

Sheet 1 nimeweka kwaajili ya kujaza alama.

Sheet 2 nimeweka sehemu ya matokeo,yaan madaraja ya kila somo,jumla na kadhalika.

Sheet 3 Nimeweka kwaajili ya rank,yaan aanze mwenye alama kubwa kwenda ndogo

Sheet 4.....5....6....

Tatizo lipo hapo kwenye rank....nashindwa kuweka fomula ya kupanga wanafunzi kwa kuanza na mwenye alama kubwa kwenda ndogo....ifanye excell yenyewe na sio kuja kufanya manually baadae....msaada tafadhali!
Kwanini usisort by hiyo column yenye marks,Z to A
 
Sijakuelewa mkuu....hivyo najua vyote.... shida yangu ni hiyo niliyoeleza hapo
Sijakuelewa mkuu....hivyo najua vyote.... shida yangu ni hiyo niliyoeleza hapo
Ungekuwa unajua maana ya sheet usingeandika hiki ulicho kiandika. Jamaa amekufafanulia vizuri.

Eti sheet A nimeweka......, sheet B nimeweka ..........., sheet..... unajua unachokifanya????????? Au excel imebadilika???????

An Excel worksheet is a software program/document that collects rows and columns designed to store information in an organized manner.
 
Yaan unataka ukiwa una-input data, Excel inazi-process hapo hapo??
Kwa case hiyo kama data ni dynamic jaribu kutumia VBA au kama una version mpya ya excel unaweza kutumia dynamic array formulas, otherwise unaweza kuweka kwenye pivot table lkn itabidi ukiadd data then refresh pivot table yako, alternatively, unaweza kutumia trick kwa kuzi rank kwanza, tumia rank.eq function thn tumia vlookup kupanga hao wanafunzi kulingana na rank
 
Ungekuwa unajua maana ya sheet usingeandika hiki ulicho kiandika. Jamaa amekufafanulia vizuri.

Eti sheet A nimeweka......, sheet B nimeweka ..........., sheet..... unajua unachokifanya????????? Au excel imebadilika???????

An Excel worksheet is a software program/document that collects rows and columns designed to store information in an organized manner.
Mkuu ni wapi nimeandika sheet A??

Nimekwambia NAJUA.

Sheet ni kama ukurasa kwenye workbook.

Nimeandika kuwa sheet 1....sheet 2...na kuendelea.....

Sasa hapo kipi sikijui??
 
Kwa case hiyo kama data ni dynamic jaribu kutumia VBA au kama una version mpya ya excel unaweza kutumia dynamic array formulas, otherwise unaweza kuweka kwenye pivot table lkn itabidi ukiadd data then refresh pivot table yako, alternatively, unaweza kutumia trick kwa kuzi rank kwanza, tumia rank.eq function thn tumia vlookup kupanga hao wanafunzi kulingana na rank
Caution kama atatumia lookup kwa kuangalia rank, ikiwa kuna wanafunzi wamelingana rank itashinwa kuwavuta wote kwenye hiyo sheet
 
Caution kama atatumia lookup kwa kuangalia rank, ikiwa kuna wanafunzi wamelingana rank itashinwa kuwavuta wote kwenye hiyo sheet
Wakilingana anachukuliwa wa kwanza, ili wasilingane ile rank value inabidi uiongezee na SN/1000 au SN/10000 ili kuipa decimal points. Mfano kama mtu wa SN 10 na wa SN 100 wana wastani wa 100, huyu wa SN 10 atakuwa na 100+10/1000=100.001 na huyu wa SN 100 atakuwa na 100+100/1000=100.1
 
Wakilingana anachukuliwa wa kwanza, ili wasilingane ile rank value inabidi uiongezee na SN/1000 au SN/10000 ili kuipa decimal points. Mfano kama mtu wa SN 10 na wa SN 100 wana wastani wa 100, huyu wa SN 10 atakuwa na 100+10/1000=100.001 na huyu wa SN 100 atakuwa na 100+100/1000=100.1
NImejifunza kitu kipya, shukran sana mkuu
 
Wakilingana anachukuliwa wa kwanza, ili wasilingane ile rank value inabidi uiongezee na SN/1000 au SN/10000 ili kuipa decimal points. Mfano kama mtu wa SN 10 na wa SN 100 wana wastani wa 100, huyu wa SN 10 atakuwa na 100+10/1000=100.001 na huyu wa SN 100 atakuwa na 100+100/1000=100.1
Mtaalamu. Nakukubali sana.
 
Back
Top Bottom