Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

JF Prefixes:

PES 2012 Hususani wanayoitumia kwenye computers huwa inafreeze ikifika ila sehemu ya avatar editing...mwenye solution ya hili tatizo naomba msaada plzzz!!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba msaada ktk Biology: Hivi jogoo anawika kwa hiari au ni kwa silika kama tunavyopiga chafya binadamu?
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za wakati wakuu!? Nna cm yangu (NOKIA 3120classic) shida ni kwamba kila nikitaka kudownload Game la GTA IV (1303 kb) linagoma naandikiwa "file is too large to be stored" nifanyeje ili...
0 Reactions
12 Replies
23K Views
natumia nokia e51 ila kila nikitaka kutumia au kubrowse mafail yaliyopo kwenye memory card kwa kutumia usb inaniandikia memory card is being used by another aplication...
0 Reactions
3 Replies
903 Views
wadau wote wapenz wa mambo ya hacking hivi kati ya hizi nchi nani ni kiboko cha mkolon in hacking tactics, au unaona kuna nchi gan nyingine ni noma?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
wadau wote wapenz wa mambo ya hacking naomben mnijuze nchi anbayo ipo fiti hacking tactics, je umegunduaje?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wandugu, Habari, Nina mpango wa kununua Receiver ya MPEG 4 HD hapa Dar Sasa nahitaji kujua yafuatayo: 1. Ni aina gani ni nzuri kwa ubora? 2. Bei yake ni sh. ngapi? 3. Naweza kupata wapi? Mungu...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Ninajuliza hivyo tukiwa tunaekea bunge la bajeti wiki ijayo. Ni kwa nini RTD haisikiki online? Je ni gharama sana, hamna wataamu, uzembe au hamna maslahi ya kibiashara?
0 Reactions
2 Replies
936 Views
Wadau wa jukwaa hili hivi juzi rafik alikuja kwangu na kunieleza kuwa kompyuta yake inamletea ujumbe huu: "windows is corrupt, run chkdsk". Niliingia mtandaoni na kutafuta solution, nilikutana...
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Hii ndio raha ya Ku-master kuitumia Adobe After Effect.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu zangu, nimejiwekea ka sh 450 kangu kwenye tigo ili nipate 50MB, dk 15 za maongezi na sms 100. Sasa nisaidiwe tafadhali najuaje salio kwa kila moja kati ya hizi huduma nikiwa nimetumia kwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
This weekend...for all programmers and those loving Programming. Do you love programming? Do you see a problem in the community that you can solve using IT? Then... This is the event for...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Hello Tanzanian Software developers! After the successful Hackathons around Africa which saw some amazing applications built, there will be one in Dar Es Salaam too! It’s being organized by the...
1 Reactions
1 Replies
720 Views
habari,je ukitaka kutengeneza system kama ya library management au hotel management system unafanyaje?natangliza shukrani,nauhitaji msaada wako kama unafahamu.asante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimejiunga na dstv siku si nyingi zilizopita. Napenda kufahamu ni aina gani nzuri ya high definition television yenye bei nafuu/nzuri hapa bongo. Hii ni kwa sababu nimekuwa nikitumia tv ya kwaida...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Nisaidie jinsi ya kuweka silide show ya picha kwenye blog yangu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Guys naomba msaada, nna modem yangu nilikua naitumia ya voda kuna muda mrefu kdg ikaanza kunigomea, ukiichomeka hairespond, ikirespond salio huwezi kuweka yani balaa na kasheshe juu niko korogwe...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari yenu wanatechnolojia... naomba mtu aliyewai kutmia au anayetumia googleads anieleze ni kwa namna gani inalipa nataka nianze kuitumia.. Asanteni sana
0 Reactions
0 Replies
745 Views
Wakuu habari zenu, Naomba msaada wa ku-install games kwenye ipad2 yangu. Nijuzeni njia rahisi kutimiza zoezi hili. Asanteni
0 Reactions
2 Replies
690 Views
nimekumbwa na tatizo hili kwenye simu yangu nipeni solution waukweli.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…