PES 2012 Hususani wanayoitumia kwenye computers huwa inafreeze ikifika ila sehemu ya avatar editing...mwenye solution ya hili tatizo naomba msaada plzzz!!!
Habari za wakati wakuu!?
Nna cm yangu (NOKIA 3120classic)
shida ni kwamba kila nikitaka kudownload Game la GTA IV (1303 kb)
linagoma naandikiwa "file is too large to be stored"
nifanyeje ili...
natumia nokia e51 ila kila nikitaka kutumia au kubrowse mafail yaliyopo kwenye memory card kwa kutumia usb inaniandikia memory card is being used by another aplication...
Wandugu, Habari,
Nina mpango wa kununua Receiver ya MPEG 4 HD hapa Dar Sasa nahitaji kujua yafuatayo:
1. Ni aina gani ni nzuri kwa ubora?
2. Bei yake ni sh. ngapi?
3. Naweza kupata wapi?
Mungu...
Ninajuliza hivyo tukiwa tunaekea bunge la bajeti wiki ijayo. Ni kwa nini RTD haisikiki online? Je ni gharama sana, hamna wataamu, uzembe au hamna maslahi ya kibiashara?
Wadau wa jukwaa hili hivi juzi rafik alikuja kwangu na kunieleza kuwa kompyuta yake inamletea ujumbe huu:
"windows is corrupt, run chkdsk".
Niliingia mtandaoni na kutafuta solution, nilikutana...
Ndugu zangu, nimejiwekea ka sh 450 kangu kwenye tigo ili nipate 50MB, dk 15 za maongezi na sms 100. Sasa nisaidiwe tafadhali najuaje salio kwa kila moja kati ya hizi huduma nikiwa nimetumia kwa...
This weekend...for all programmers and those loving Programming.
Do you love programming?
Do you see a problem in the community that you can solve using IT?
Then...
This is the event for...
Hello Tanzanian Software developers! After the successful Hackathons around Africa which saw some amazing applications built, there will be one in Dar Es Salaam too! Its being organized by the...
habari,je ukitaka kutengeneza system kama ya library management au hotel management system unafanyaje?natangliza shukrani,nauhitaji msaada wako kama unafahamu.asante
Nimejiunga na dstv siku si nyingi zilizopita. Napenda kufahamu ni aina gani nzuri ya high definition television yenye bei nafuu/nzuri hapa bongo. Hii ni kwa sababu nimekuwa nikitumia tv ya kwaida...
Guys naomba msaada, nna modem yangu nilikua naitumia ya voda kuna muda mrefu kdg ikaanza kunigomea, ukiichomeka hairespond, ikirespond salio huwezi kuweka yani balaa na kasheshe juu niko korogwe...
Habari yenu wanatechnolojia... naomba mtu aliyewai kutmia au anayetumia googleads anieleze ni kwa namna gani inalipa nataka nianze kuitumia.. Asanteni sana