Nguchiro
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 364
- 31
Guys naomba msaada, nna modem yangu nilikua naitumia ya voda kuna muda mrefu kdg ikaanza kunigomea, ukiichomeka hairespond, ikirespond salio huwezi kuweka yani balaa na kasheshe juu niko korogwe kwa sasa ila ukiwapigia wanakuambia uende Tanga mjini coz hawana voda shop wilayani nimeona niichakachue tu maisha yaende,pliz