kuna aina kuu mbili za madish namely prime focus (ya duara) na offset/parabolic dishes (ya mfano wa yai) aidha kuna lnb 3 hivi namely cband, ku band na ka band. Kuhusu ipi ni digital na ipi sio hapa ndiyo mada yangu. Lnbs zote ni digital, kwa hiyo zina uwezo wa kupokea mawimbi ya analogue. Ukweli ni kwamba kuna tvs anuai zinapatikana kupitia cband na bado ni digital(nenda google andika "is10 lyngsat") ukifungua page kila tv channel itakuwa na rangi tofauti kuonyesha ipi ni digital na ipi analogue. Hi startimes ni digital inapatikana kwenye sat W2A ku2mia cband lnb na kupitishwa kwenye mfumo wa terrestrial(minara km ya cm) ili kuwawezesha wenye terrestrial decoda kupokea mawimbi.kuhusu receivers niseme kuwa zote ni digital kwa ss ndio maana zimeandikwa DVB(Digital video broadcasting ) kwa vile ni digital zina pia uwezo wa kufungua analogue.ziko za DVB-S mpeg2, DVB-S2 mpeg4 sd/hd. Wa2 wengi wana mpeg2 mf.mediacom 930/910 ambazo huwezi kupata uhuru wa kufurahia ulimwengu wa fta tvs