Naombeni msaada wenu, nimefungua Blog yangu inayohusu maswala ya elimu na biashara. Swali langu ni jinsi ya kitufe cha komenti wakati mtumiaji anatumia simu, nimejaribu nikakuta inanionyesha pale...
eti kwa 250 utaweza kudownload miziki,updates,habari za michezo mbalimbali kifurushi chenyewe unapewa Mb5.wakati unakuta nyimbo moja ina mb10. Wadau hii imekaaje?
Naombeni msaada laptop yangu aina ya COMPAQ presario CQ 50.. port yake ya HDMI haifanyi kazi ghafla tu baada ya kubadili window toka window 7 ultimate kwenda window 7. Nimejaribu kurudisha window...
Jamani mimi nina kimbembe
Kuna doc ya PDF ambayo nimeweza kuiconvert into Word sasa kwa sababu ilikuwa ni scanned doc nataka niweze kuiedit in Ms Word
Nimekwamba nishadownload OCR softwares na...
10 great inventors who helped change our life
Thomas Edison - the lightbulb and many more. One of the most prolific inventors of all time
The Wright Brothers - for making the first flight...
Sijui inaweza kuwa ni setting au ndivyo ilivyo yaani unapo click kufungua post inafungukia katika post ya chini kama ukurusa ulikuwa na post 10 basi inaanza kuonekana ile post ya 10 na ili uende...
msaada toka kwa wataalam wa mambo jaman mashine yangu tajwa juu hapo inapiga copy upande mmoja wa karatasi vizur ukiigeuza karatas hyo upande wa pili inafifia naomba msaada kutatua tatizo hlo
How to install Android 4.0 Ice Cream Sandwich on HTC HD2? Yes, I am sure that you will ask this question if you have HTC HD2 with older Android version like 2.3 Gingerbread. Basically, the Android...
Vitabu vya namna ya ufugaji samaki,kuanzia uchimbaji bwawa,ulishaji,urutubishaji bwawa mpaka namna ya uvuaji,vitabu hivi nina vihitaji hasa vya kiswahili, nasikia kuna chuo kikuu kimoja hapa...
wakuu natanguliza shukrani kwanza...
Katika jitihada za ujasiriamali nimeweza kutengeneza manual kwa ajiri ya wanafunzi wa college. Tatizo limekuja kwenye kuset page kisha kuprint.
Nataka...
As we all know, free stuff aren't always the best which also boils down to the fact that if you want to learn a concept online, you must do it from multiple sources just to get it right.
My...
Tafadhalini nisaidieni,sijuh ni mimi tu au na wengine mnapata shida ya kupata STAR TV,TBC,na CHANNEL TEN kwenye satellite dish siku hizi? Nimejaribu kuset upya dish,na mara zote nimeambulia kupata...
jamvi la Jf naombeni kufahamishwa juu hii kitu ya kudevop zinazoitwa android je ni za zinafanyika vp? ziko kama java na C+ au zenyewe kitu tofauti kabisa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.