Kampuni ya utengenezaji simu aina ya Iphone ya Apple yakubali yaishe, inatarajia kutangaza simu mpya wiki ijayo zenye charger za type C.
Apple imekubali kufuata masharti ya umoja wa ulaya ambayo...
Tcra na makampuni mbalimbali ya simu nchini Tanzania wameleta mfumo wa watu kufungiwa line zao ikiwa hawajazitumia kwa muda.
Kumekua na tabia ya watu kusajili line mbalimbali Kisha kuziacha na...
๐ฆ๐ถ๐บ๐ ๐๐ถ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ๐๐ผ ๐ณ๐๐ป๐ด๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ช๐ต๐ฎ๐๐๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐บ๐๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ต๐๐[emoji116]
Whatsapp imetoa taarifa Kuna baadhi ya simu hazitaweza tena kupata au kutumia Whatsapp kuanzia octoba mwaka huu.
Watumiaji kuanzia...
Habari wakuu,
Simu yangu ni google pixel 5 kuanzia Jana mtu akinipigia inakata naomba msaada tafadhali maana nimeshaizima na kuiwasha pamoja na kuirestart bila mafanikio yoyote.
Je hili tatizo...
Nataman kujifunza mambo ya animation.. Kma vile kutengeneza movie za kawaida za animation, au story-animation. Nmeinstall application ya Blender kwenye computer Naweza pata mtu wa kunishauri...
Nimeona sehemu mtu ameweka windows 10 lite toka torrent.
Got me thinking of doing the same in my pc.
Kuna mtu ameshawahi fanya hivyo? Kwa wataalamu kuna shida yeyote mtu akifanya hivyo...
Habari ya muda huu wadau,
Naomba kuuliza jambo. Kuna muda fulani TCRA walikuja na mpango wa one network kama nitakuwa sahihi na kumbukumbu zangu ziko sahihi ya kwamba namba yako ya simu ya sasa...
Wakuu habari, nisiwapotezee muda, nimekuja kuomba msaada nikijua fika humu ndani kuna wajuvi wengi wa mambo.
Kwanza kabisa nimekosa kiswahili sahihi cha kutumia kwenye heading hapo juu hivyo...
Wezi sio watu wazuri, wamekata dirisha (grill) na kuondoka na Tv yangu,
Kabla sijanunua nyingine nataka kujiridhisha ni kwa njia gani naweza kuiprotect TV yangu? kwenye hizi smart TV kuna jinsi...
Makala hii itakusaidia kuweza kuondoa pattern ama password (nywila) uliyosahau katika simu yako (Android), zipo njia nyingi kutegemea na aina ya simu au toleo la Android ambalo simu yako inatumia...
Nina simu yangu ya batani Itel t5020, nimesahau Password yake, nifanye trick gani ili ifunguke?
Nimejarubu kuingia YouTube ila sijafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizp langu
Habari,
Nina sumsung A32 5g
inaandikwa kt network
Ukiweka SIM card ya tigo inaandika
Limited service
Haikubali kusoma line za bongo
Kwa mafundi software na hardware nipeni solution
Habari wana Home of Great Thinkers,
Nimedondosha Mashine ninayotumia HP probook 440 G2 imevunja Case yake upande wa Kioo.
Mwenye Housing /case ya mashine hio tuwasiliane nataka kununua.