Wezi sio watu wazuri, wamekata dirisha (grill) na kuondoka na Tv yangu,
Kabla sijanunua nyingine nataka kujiridhisha ni kwa njia gani naweza kuiprotect TV yangu? kwenye hizi smart TV kuna jinsi naweza kulock mtu mwingine asiweze kuitumia?
Wenzangu nipeni maujanja, Tv zenu mnaziprotect vipi na hawa Vibaka?
Kabla sijanunua nyingine nataka kujiridhisha ni kwa njia gani naweza kuiprotect TV yangu? kwenye hizi smart TV kuna jinsi naweza kulock mtu mwingine asiweze kuitumia?
Wenzangu nipeni maujanja, Tv zenu mnaziprotect vipi na hawa Vibaka?