Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,761
- 2,311
Naombeni tofauti kati ya hometeck tv na ailyons ipi ni imara na bora kwenye picha?
mbona hisense kama zimekuwa copy zimezagaa ovyo na picha zake za kupauka
Skyworth na blackstone pia sio mbayaApo zote ziko sawa tu, ukiacha brands kubwa kama sony,lg,hisense,tcl na samsung nyingne zote unaweza kununua tu bila kujali brand, ilimrad umerizika na muonekano wake.
Though kuna brand za kawaida tu za bei ndogo kali na imara brand tu. Kwamfano tv za Haier
Haier si brand ndogo mkuu, ni kubwa kushinda hata Hisense hii Kampuni ipo Fortune 500, kampuni 500 kubwa zaidi Duniani.Apo zote ziko sawa tu, ukiacha brands kubwa kama sony,lg,hisense,tcl na samsung nyingne zote unaweza kununua tu bila kujali brand, ilimrad umerizika na muonekano wake.
Though kuna brand za kawaida tu za bei ndogo kali na imara brand tu. Kwamfano tv za Haier
👊👊👊Skyworth na blackstone pia sio mbaya
Akacheki haier; naamini wapo vizuri tena kwa saizi naamini copy zake bado hazijafyatuliwa.hizo tv naona zimeshapita kwa kina wong chong leee zimekuwa mdebwedo matoleo ya sasaivi.