adakiss23
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 4,917
- 5,316
Habari ya muda huu wadau,
Naomba kuuliza jambo. Kuna muda fulani TCRA walikuja na mpango wa one network kama nitakuwa sahihi na kumbukumbu zangu ziko sahihi ya kwamba namba yako ya simu ya sasa unaweza kujadili mtandao wa simu bila kuathiri nambari yako ya sasa.
Je hi huduma bado ipo? Kama ipo taratibu zake zikoje?
Naomba kuuliza jambo. Kuna muda fulani TCRA walikuja na mpango wa one network kama nitakuwa sahihi na kumbukumbu zangu ziko sahihi ya kwamba namba yako ya simu ya sasa unaweza kujadili mtandao wa simu bila kuathiri nambari yako ya sasa.
Je hi huduma bado ipo? Kama ipo taratibu zake zikoje?