Wadau naombe ni kujua, simu yangu ninapofungua jf ili kuona picha kinachokuja ni hiki hapa kwenye picha, nime uninstall na ku install lakini wapi, tazizo liko pale pale, je nifanyeje?
Wakuu habari zenu, natumainia kuwa mko vizuri na wenye afya dhoofu Mwenyezimungu awafanyie wepesi pia.
Moja kwa moja, Pc yangu ina shida ya internet yani haiwezi ku-connect wireless internet...
Is the WhatsApp verification code or security code not sending? Did you request an SMS code from WhatsApp but you’re not receiving it? If you’re facing this issue, you won’t be able to access...
Wakuu habari zenu.
Ninajambo naomba msaada.
Ninataka kusajili whatsapp namba ya 3 kwenye simu yangu. 2 nishaweka yani whatsapp na WA Business.
Hii ya tatu imekuwa kipengele wiki jana yote...
Hivi unajua Unaweza kutumia wifi kupiga simu , kupokea au kutuma ujumbe wa Sms kupitia simu yako ikiwa mtandao unasumbua na haupatikani kabisa.
Matoleo mengi ya simu kuanzia mwaka 2015 yana hii...
Wakubwa vipi mambo nimedownload hii game kupitia torrent na nimeiinstall kabisa tatizo ni moja haifunguki kila nikijaribu kuiopen kale kamshale kanazunguka tu alafu kanaacha hakitokei kitu...
Mtandao wa Whatsapp ambao ukitoa feature Nyingi mpya inaonekana inachukua toa telegram [emoji16], hatimaye Whatsapp wako kwenye mchakato wa kuleta feature mpya kwenye status.
Meta inataka kufanya...
Wale wote tunaofanya backend kwa python hii ni baada ya mda saaaana kupita ni rasmi django 5 ipo live kwa ajili yetu
Django5.0 nilikua naisubiri kwa mda mrefu ili kufanya baadhi ya project zangu...
Wakuu habarini poleni na majukumu, jana nilipita sehemu nikakuta wanauza visimbuzi vya azam vile vya 49000 nikachukua.
Sasa shida inakuja kwenye kuwasha yani nimeseti antenna vizuri tena ipo juu...
Mwanamume mmoja raia wa Uingereza na Nigeria amekiri katika mahakama ya Marekani kudanganya na kuiba zaidi ya $6m (£4.7m) katika kipindi cha miaka saba.
Idris Dayo Mustapha, 33, alikuwa sehemu ya...
Tajiri ELon musk amesema anaweza kutoa zaidi ya dollar za kimarekani bilioni moja ikiwa kampuni ya Wikipedia itajibadilisha jina lake.
CEO wa Tesla amewapa ofa Wikipedia kwa kuwataka wabadili...
Habari wanajf, nilinunua kig'amuzi cha startimes miezi mitano iliyopita ila tatizo ni kwamba nliangalia channels za ofa kwa wiki tu, then zikabaki za local yaan itv,eatv,tbc1 kwa muda mwa miezi...
Ndiyo nahitaji kioo cha Samsung S10+ Super Amored chenye frame yake kabisa.
Atakama ni used fresh ilimradi kiwe kimenyooka tu.
Ofa yangu ni Tsh 200,000/=
Location ni Dar es Salaam - Ilala...
Kampuni ya Meta sasa wamerudi kwa Kasi kwenye mchakato wao wa kuweza kuzifungia namba mbalimbali ambazo zinatumia program ya Whatsapp Gb.
Kuna kipindi Meta walitoa taarifa ya watu kuweza kuacha...
Kumekuwa na wimbi kubwa la kukopesha simu... Unalipa kidogo kidogo kama mtambo wa sola.
Hajapatikana mtu wa kubadili either IMEI au chochote ili simu iwe free?
Sent from my 2201117TG using...