Extrovert24
Senior Member
- Jun 23, 2022
- 107
- 124
Wakuu habari zenu, natumainia kuwa mko vizuri na wenye afya dhoofu Mwenyezimungu awafanyie wepesi pia.
Moja kwa moja, Pc yangu ina shida ya internet yani haiwezi ku-connect wireless internet labda nitumie Ethernet, na sababu kuu inaniambia ya kuwa cellular radio iko off.
Naomba msaada kwa anayefahamu namna ya kutatua changamoto hii anisaidie.
Naomba kuwasilisha Wakuu
Moja kwa moja, Pc yangu ina shida ya internet yani haiwezi ku-connect wireless internet labda nitumie Ethernet, na sababu kuu inaniambia ya kuwa cellular radio iko off.
Naomba msaada kwa anayefahamu namna ya kutatua changamoto hii anisaidie.
Naomba kuwasilisha Wakuu