Kwa hapa labda uwalenge Maduka ya wahindi wanaouza hizo vitu then uwambie unashida na hizo games utasaidika japo itakugharimuHapa tz hakuna au
upo mkoa ganiJamni wanafamilia wa jamii forum ninaitaji games za PlayStation3 naomba msaada wenu ni bei gani maana naitaji magemu kama
Mpila na god of war
itabidi umtafute chriss yuko kkoo
Jamni wanafamilia wa jamii forum ninaitaji games za PlayStation3 naomba msaada wenu ni bei gani maana naitaji magemu kama
Mpila na god of war
chriss ps3Una namba zake
Una namba zake
Ninauza PS3 fat, yenye 200gb HDD na padi mbili, jailbroken firmware, you can use external hard drive kwa kucheza games. Bei ni 300,000/= Wasiliana nami kwa 0789444498.
Sent using Jamii Forums mobile app