NAOMBENI MNIVUMILIE MIMI BADO S MUELEWA SANA WA HIVI NDO MY FIRST TIME
Nimejisajili na paypal tayari
Ila shida nayopata ni pale aliexpress ikifanya kwenye kulipia malipo paypal siioni wananiletea...
Kutokana na sheria za ushindani ambazo zimekuwa mwiba kwa kuweka vikwazo kwa makampuni makubwa kuyanunua makampuni madogo hasa startups, Adobe imeghairi mpango wake wa kuinunua Figma.
Sheria hizi...
Wakuu nataka kununua friji used
Kuna jamaa yangu kaniambia alinunua friji used linakula umeme balaa
Nikaona nilete specification za hilo friji hapa wataalam mnipe ushauri namna linavyokula umeme...
Wakubwa zangu habari za kwenu.Natumaini tunandelea vyema na majukumu yetu ya Kilasiku.
Katika kupita YOUTUBE nimeona Tips and Trick katika matumizi ya Gmail,ukweli kuna Features nyingI Free za...
Aisee ikitokea umekutana na mwanafunzi wa IT mwaka wa kwanza wengi ni much know.
Niko na dogo hapa kamaliza mwaka wa kwanza anasoma masuala ya security yani yeye kila kitu anasema anaweza hack iwe...
JE Unapenda Kujifunza Cinema 4D au Blender? ( Animation ) Motion Graphic kwa kutumia Cinema 4D.
Mwezi sasa toka nianze kujifunza Animation kwa kutumia Cinema 4D na Blender.
Week hii nmefanya...
Habari wadau,
Kuna account kama tatu hivi nishazitengeneza na kuzifuta ila nilizitumia kwenye baadhi ya websites muhimu kwahiyo kama kuna njia ya kuzipata tena zote naombeni msaada.
Ni wiki la pili sasa simu yangu camon 16s inakua na tabia ya kuzima mwanga nikiwa napiga na cwezi fanya lolote mpaka niombe niliyempia akate yy ndo mwanga unatokea!!
Naombeni msaada kwa hili tatizo
Habar wakuu....
Hoja yangu,naitaji kuwa mmiliki wa akaunt ya YouTube itakayo kua inalipwa....sifaamu chochote kuusiana na taratibu zao...
Mwenye kujua naomba anisaidie nipate mwongozo...
Wakuu nimeagiza mizigo kama mitano hivi sema inakuja Kwa njia tofouti minne inakuja na caniao super economy japo ni mmoja tu ndio code number yake ndio imeanza na TZ ila mingine ni LP na mmoja ni...
Unajua ukiwa na kitu muda mrefu Kuna wakati unajikuta umechoka kukitumia. ikiwa unamiliki simu yako ya Android au iphone kwa muda mrefu unaichoka kutumia.
Sio lazima kununua simu mpya !! Fanya...
Artificial Intelligence for Development (AI4D) hosted the 1st International Conference on the Advancements of Artificial Intelligence in African Context in Arusha, Tanzania.
The overall...
How To Fix Slow LAN Speed On Windows 11
In this article, we will explain 6 methods that can fix slow LAN speed on Windows 11.
Whether you are attending an online meeting or playing an online...
How To Fix ‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11
‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11. It’s a common issue that is faced by users across the world. Many consumers get...
How to Get Wi-Fi Without an Internet Provider
The internet is an invaluable resource that most of us need on a daily basis. If you don’t have an internet connection at home or you’re traveling to...
Habari wakuu sana. Hivi hapa kwetu huduma ya data recovery kitaalamu ikitokea mtu disk yake imeroga inapatikana wapi? Inagharimu kiasi gani huduma hiyo?