Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 445
- 754
Unajua ukiwa na kitu muda mrefu Kuna wakati unajikuta umechoka kukitumia. ikiwa unamiliki simu yako ya Android au iphone kwa muda mrefu unaichoka kutumia.
Sio lazima kununua simu mpya !! Fanya mambo yafuatayo kuifanya simu kuwa mpya tena?
๐๐ฎ๐ฑ๐ถ๐น๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐๐ฎ ๐น๐ฎ ๐๐ถ๐บ๐
Mara nyingi ukitaka kujua simu ni ya kitambo ni muonekano wake (physical body). Mwanzoni ukinunua simu utunzaji unakua mkubwa kuliko kadri siku zinavyoendelea mbele. Ikiwa simu yako Ina madoa ,mikwaruzo ya simu yako kuwa na tabia ya kubadilisha kava la simu.
Badilisha skrini protector glass
Najua tunaweka skrini protector kulinda simu zetu zisiweze kuhalibika. Najua tumeangusha sana simu zetu mpaka ukikitazama kioo ni balaa una haja kununua simu mpya badilisha kioo chako.
๐๐ฎ๐ฑ๐ถ๐น๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐๐ฎ๐นlpaper
Muonekano wa ndani pia unaweza kuipeleka simu yako kuwa na mvuto tena, ukifungua simu zetu mara nyingi utaona wallpaper kwenye home skrini pia kwenye lock skrini. Acha kutumia wallpaper Moja kwa muda mrefu kuwa na tabia ya kubadilisha utafanya simu kuwa mpya.
๐ง๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐บ๐ฝ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐น๐ฎ๐๐ป๐ฐ๐ต๐ฒ๐ฟ
Hii njia nzuri sana kwa watu, launcher ni mfumo unaomsaidia mtu kubadilisha muonekano wa simu yake kupitia apps na kuipangilia vizuri kuwa na muonekano mzuri.
Ziko launcher nyingi huwe na tabia ya kubadilisha tumia Microsoft launchers, Nova launcher, Google go launcher, iPhone Launcher nk.
๐ข๐ป๐ฑ๐ผ๐ฎ ๐๐ป๐ป๐ฒ๐ฐ๐ฒ๐๐๐ฎ๐ฟ๐ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ๐
Kuna wakati unajikuta una app nyingi kwenye simu zako sio zote najua unatumia , sasa kuwa na tabia ya kuondoa app ambazo utumi kwenye simu yako , pia hata ku disabled kama hazitaki kufutika.
๐ข๐ป๐ด๐ฒ๐๐ฎ ๐ป๐ฎ๐ณ๐ฎ๐๐ถ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ
Je simu yako imeshuka uwezo, inafanya kazi polepole ? Umeshawahi kukutana na app crashing , app responding pia hata touch skrini kwenye kioo chako kinasumbua. Kuna wakati usababishwa na nafasi kwenye simu zetu kuwa ndogo ondoa picha , videos, apps, file ambazo hutumi kwenye kifaa chako.
Tuambie ukichoka simu unafanyaje hiwe na muonekano mzuri zaidi?
Sio lazima kununua simu mpya !! Fanya mambo yafuatayo kuifanya simu kuwa mpya tena?
๐๐ฎ๐ฑ๐ถ๐น๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐๐ฎ ๐น๐ฎ ๐๐ถ๐บ๐
Mara nyingi ukitaka kujua simu ni ya kitambo ni muonekano wake (physical body). Mwanzoni ukinunua simu utunzaji unakua mkubwa kuliko kadri siku zinavyoendelea mbele. Ikiwa simu yako Ina madoa ,mikwaruzo ya simu yako kuwa na tabia ya kubadilisha kava la simu.
Badilisha skrini protector glass
Najua tunaweka skrini protector kulinda simu zetu zisiweze kuhalibika. Najua tumeangusha sana simu zetu mpaka ukikitazama kioo ni balaa una haja kununua simu mpya badilisha kioo chako.
๐๐ฎ๐ฑ๐ถ๐น๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐๐ฎ๐นlpaper
Muonekano wa ndani pia unaweza kuipeleka simu yako kuwa na mvuto tena, ukifungua simu zetu mara nyingi utaona wallpaper kwenye home skrini pia kwenye lock skrini. Acha kutumia wallpaper Moja kwa muda mrefu kuwa na tabia ya kubadilisha utafanya simu kuwa mpya.
๐ง๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐บ๐ฝ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐น๐ฎ๐๐ป๐ฐ๐ต๐ฒ๐ฟ
Hii njia nzuri sana kwa watu, launcher ni mfumo unaomsaidia mtu kubadilisha muonekano wa simu yake kupitia apps na kuipangilia vizuri kuwa na muonekano mzuri.
Ziko launcher nyingi huwe na tabia ya kubadilisha tumia Microsoft launchers, Nova launcher, Google go launcher, iPhone Launcher nk.
๐ข๐ป๐ฑ๐ผ๐ฎ ๐๐ป๐ป๐ฒ๐ฐ๐ฒ๐๐๐ฎ๐ฟ๐ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ๐
Kuna wakati unajikuta una app nyingi kwenye simu zako sio zote najua unatumia , sasa kuwa na tabia ya kuondoa app ambazo utumi kwenye simu yako , pia hata ku disabled kama hazitaki kufutika.
๐ข๐ป๐ด๐ฒ๐๐ฎ ๐ป๐ฎ๐ณ๐ฎ๐๐ถ ๐๐ฎ๐ถ๐ฑ๐ถ
Je simu yako imeshuka uwezo, inafanya kazi polepole ? Umeshawahi kukutana na app crashing , app responding pia hata touch skrini kwenye kioo chako kinasumbua. Kuna wakati usababishwa na nafasi kwenye simu zetu kuwa ndogo ondoa picha , videos, apps, file ambazo hutumi kwenye kifaa chako.
Tuambie ukichoka simu unafanyaje hiwe na muonekano mzuri zaidi?