Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wasalaam Wakuu, Naomba kujua ni vipi unaweza kutumia handset yako kuchangia humu JF? Kwa mfano mimi natumia TECNO H7 smartphone lakini nashindwa kutumia effectively JF zaid ya kusoma tu, sasa...
1 Reactions
30 Replies
13K Views
Habari! Ushamba siyo dhambi, ushamba siyo ulemavu wala ushamba siyo ugonjwa. Ushamba ni jambo la aibu ndiyo maana watu wengi hawapendi kuonekana washamba. Kinyume na wengi wasiopenda kuonesha...
3 Reactions
39 Replies
7K Views
Habari wakuu? Naomba mnipe tofauti ya hivyo nilivyo taja hapo juu. Nini matumizi yake? Faida na hasara zake? Na ni ipi bora kuwa nayo nyumbani? AHSATENI
1 Reactions
9 Replies
3K Views
I love tech. Phones are part of it. Leo nilikutana na fundi simu mmoja wa miaka mingi sana. Nakumbuka mwaka 2009, kabla Simu za laini mbili hazijakuwepo, huyu fundi alikuwa anakata laini na...
1 Reactions
6 Replies
807 Views
Habari za muda huu? Naomba kupata muongozo kwenye uchaguzi wa camera hizi mbili Canon 5D Mark II na Canon 750D Ipi nzuri, kwa matumizi ya picha na video shooting, Natanguliza shukrani.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naomba kuelekezwa ni jinsi gani naweza pokea pesa kutoka Kongo kupitia mitandao ya simu yani namaanisha mpesa, airtel money au tigo pesa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwenye pitapita zangu huko kwenye YouTube nimekutana na channel yenye subscribers 151 tu. Ila ukiplay video inaleta kwanza matangazo. So, hii ndo kusema hii channel ya watu 151 Iko monetized...
0 Reactions
2 Replies
548 Views
Habari za humu jamani naombeni msaada simu yangu infinix hd model x612. Camera imenizingua nikipiga picha picha inageuka juu chini na ya nyuma ndio imegoma ata kufunguka kabisa msaada wenu waku...
0 Reactions
7 Replies
719 Views
Ukuaji wa technology pamoja na fild zake kama AI, robots, autonomous na IoT Umeongeza fursa hasa upande wa M2M. Kama unampango wa kua billionea miaka ijayo anza sasa, fanya research na kuona...
0 Reactions
2 Replies
585 Views
wakuu wataalam wa tech, je nawezaje kusoma text au jumbe zilizotumwa kwene account yangu ya Facebook kupitia Email? Zamani sana nilikuwa naweza kusoma ujumbe kupitia email notification bila...
1 Reactions
3 Replies
823 Views
Habari wadau naomba msaada nina badget ya 700k nataka simu nzuri ya samsung .mwanzo nilikuwa natumia samsung note 8 lkn hii inasumbua haikai na charge sana. Ni ipi simu nzuri katika hizo. Hasa...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habari ya nyie, mi naomba leo niwape promo hawa watu wa SpeedAf kwa kweli wananifurahisha sana. Tar 5/09/2023 nilipress order yangu, shopping method ilikua ni cainniao global shipping, kama...
6 Reactions
37 Replies
3K Views
Naomba kujuzwa ubora wa hii simu kwa anaeifaham ram 8 gb 256gm
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Jarida maarufu nchini Marekani la Bloomberg, limeripoti kuwa mauzo ya simu za Huawei hasa toleo la Mate 60 yamepanda kwa asilimia 27 mwaka huu wa 2023 Likinukukiwa jarida hilo liliandika...
1 Reactions
1 Replies
739 Views
Simu ya Google pixel 8 series imekuja ikiwa na uwezo wa kutoa picha Kali zenye mvuto ndani yake yaani unaweza sema uko mwezini. Achana na kamera ya 50mp iliyopo ndani, kuna Teknolojia ya Akili...
14 Reactions
92 Replies
11K Views
Wandugu, Natengeneza an auction application kwa kutumia mySQL na perl, hizi ni project requirements. Nahitaji algorithm/code/commands za ku integrate a perl login kutoka mySQL database...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Zote tatu ndani ya cd moja zikiwa zimeboreshwa graphics mpyaa kwa ulimwengu wa sasa. system requirements OS: Windows 10 (probably 64 Bit) RAM: 8 GB. Processor/CPU: Intel Core i5-2700K / AMD...
5 Reactions
65 Replies
5K Views
Habari wadau, Nasimu ya iPhone 4 lakini nkiwasha inagoma sijui shida itakua nini inakua kama hivi kwenye picha kisha inazima
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Ndugu zangu wa JF, natumaini hamjambo na mnaendelea vizuri na maandalizi ya Sikukuu ya Mwaka Mpya, 2024. Nimeamua kuja hapa JF kwa lengo la kukaribisha Guest Posts kutoka kwenu wadau na Wataalamu...
2 Reactions
0 Replies
607 Views
Habari wakurungwa, Nina shida na vitabu mbalimbli vya kiacademic mwenye kufahamu wapi (mtandaoni, aidha telegram au website au mahali pengine popote) ambapo naweza ku access free pdf books hasa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…