Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 298
- 542
Habari!
Ushamba siyo dhambi, ushamba siyo ulemavu wala ushamba siyo ugonjwa.
Ushamba ni jambo la aibu ndiyo maana watu wengi hawapendi kuonekana washamba.
Kinyume na wengi wasiopenda kuonesha ushamba wao mimi huwa sifichi ushamba wangu kwa kile nisichokijua hasa nikihisi kitu hicho kina manufaa.
Neno coding siyo geni masikioni mwangu na ninahisi ni kitu muhimu sana kutokana na namna kinavyotajwa. Basi leo ningependa nami nipewe elimu kidogo Kuhusu coding.
Coding ni nini?
Ina faida gani katika maisha?
Ugumu na urahisi wa kujifunza coding ni wa kiwango gani?
Wataalamu naomba kueleweshwa nimechoka kukumbatia ushamba.
Ushamba siyo dhambi, ushamba siyo ulemavu wala ushamba siyo ugonjwa.
Ushamba ni jambo la aibu ndiyo maana watu wengi hawapendi kuonekana washamba.
Kinyume na wengi wasiopenda kuonesha ushamba wao mimi huwa sifichi ushamba wangu kwa kile nisichokijua hasa nikihisi kitu hicho kina manufaa.
Neno coding siyo geni masikioni mwangu na ninahisi ni kitu muhimu sana kutokana na namna kinavyotajwa. Basi leo ningependa nami nipewe elimu kidogo Kuhusu coding.
Coding ni nini?
Ina faida gani katika maisha?
Ugumu na urahisi wa kujifunza coding ni wa kiwango gani?
Wataalamu naomba kueleweshwa nimechoka kukumbatia ushamba.