5d Mark II haijawahi kuchuja.. Chagua lens zako nzuri + ubunifu utanishukuru baadae mkuu. Ingawa ni model ya zamani ila imefanya makubwa sana.. Binafsi bado naitumia na naipenda daima.Habari za muda huu..?
Naomba kupata muongozo kwenye uchaguzi wa camera hizi mbili
Canon 5D Mark II na Canon 750D
Ipi nzuri, kwa matumizi ya picha na video shooting,
Natanguliza shukrani.
Cha msingi apo anunue mpya na sio used,Mkuu kwasasa ukitaka kuwekeza kwenye hiyo biashara au matumizi yakwako binafsi kwa video, picha zingatia na vofaa hivyo ni vya mwaka gani na technologia yake..
Hiyo 5d mark ii ina zaidi ya miaka 10 huko.
Unaweza jikuta umenunuwa camera kwa bei kubwa lakini uwezo wake huwezi linganisha hata na hizi flagship smartphone
5d mark ii mpya atapata wapi?, maana ipo discontinued? Labda unazungumzia refurbished, au used kutoka nje?Cha msingi apo anunue mpya na sio used,
Anunue 5d Mark ii.
Kuhusu swala la video production Kwa upande wa vifaa NI ghali Sana Kama ukitaka kwenda na technologiya and quality of the product
Afanye kile anachoweza Ku afford.🙏
Mleta Uzi tupe mrejesho , Una nunua Kwa MTU mkononi au on-line5d mark ii mpya atapata wapi?, maana ipo discontinued? Labda unazungumzia refurbished, au used kutoka nje?
Mtalaam mm binafsi nilifuata ushauri wako5d Mark II haijawahi kuchuja.. Chagua lens zako nzuri + ubunifu utanishukuru baadae mkuu. Ingawa ni model ya zamani ila imefanya makubwa sana.. Binafsi bado naitumia na naipenda daima.