Kwani aliinunua ya nini?iPhone 4 ya nini saa hizi jamani? Hiyo ikizima ni haki kabisa.
Tafuta hata ka iPhone 6 walau uendelee nacho, hiyo iweke makumbusho.
Ndio imeshakwisha muda wake sasa.Kwani aliinunua ya nini?
Unatakiwa uunganishe kwenye itune. Yaani unganisha kwenye computer yenye iTune ili ufanye-set up. Ukiungamisha itakuuliza uweke ID yako ya Apple. BTW ni kama imepitwa na wakati na app nyingi huwezi kuzi-update. Labda kama utapanga kuitumia kwenye kupiga na kupokea simu zaidi kwani hata whatsup huwezi kuitumia.Habari wadau,
Nasimu ya iPhone 4 lakini nkiwasha inagoma sijui shida itakua nini inakua kama hivi kwenye picha kisha inazima
View attachment 2850399
Sijui kwanini sisi wabongo tunapenda kutoa ushauri ambao hatujaombwaiPhone 4 ya nini saa hizi jamani? Hiyo ikizima ni haki kabisa.
Tafuta hata ka iPhone 6 walau uendelee nacho, hiyo iweke makumbusho.
Kwani nimemfuata nyumbani kwake? Kaomba ushauri cha kufanya nimemwambia cha kufanya.Sijui kwanini sisi wabongo tunapenda kutoa ushauri ambao hatujaombwa
Chakufanya nini zaidi ya kumsimanga tu mleta uzi, ukiona kitu huna utaalam nacho ishia kusoma na kupita sio lazima kila kitu uchangieKwani nimemfuata nyumbani kwake? Kaomba ushauri cha kufanya nimemwambia cha kufanya.
Pole kama na wewe unatumia kati ya simu hizo, haikuwa kwa ubaya.
Alinunua au alikodisha?Ndio imeshakwisha muda wake sasa.
Iphone ya kwanza ilitoka 2007, sasa ya nne itakuwa 2014 labda😂😂 IPhone 4 si simu ya 2002 au.?
Utaalam wa nini kwenye iPhone 4 jamani?Chakufanya nini zaidi ya kumsimanga tu mleta uzi, ukiona kitu huna utaalam nacho ishia kusoma na kupita sio lazima kila kitu uchangie
Pole nikupe wewe nimekwambia sio kwa baya
Hiyo imetoka 2010.Iphone ya kwanza ilitoka 2007, sasa ya nne itakuwa 2014 labda
Hata kama aliiokota…Alinunua au alikodisha?
Aliyeiodondosha, aliikodisha toka dukani?Hata kama aliokota…