Nilishawahi nunua lg hometheater kwa 750k, mziki nilivyoufunga ulikuwa unazidiwa mkito na zile speano za laki na 50. Bahati nzuri alieniuzia akanielewa malalamiko yangu nikarudisha mzigo nikamuongezea 250k nikachukua jbl sound bar 2.1... Ni vidude viwili tu tena ambavyo havina mawaya waya ya kuungana ungana, ila mziki ulioko hapo balaa
Huyo Jamaa hajui mziki, hata hiyo LG HD 750 Home Theater yenyewe huenda walimpiga.Hometheater ungechukua ya sonny ndiyo uone utamu wake, sonny kwenye sound wapo vizuri
Home theater ni balaa Mkuu, ukikutana na za kisasa hizi huhangaiki kabisa kuseti base, loud stereo sounds wala sounds quality.Hometheater ungechukua ya sonny ndiyo uone utamu wake, sonny kwenye sound wapo vizuri
hakuna home theatre inayoizidi nguvu sea piano.Huyo Jamaa hajui mziki, hata hiyo LG HD 750 Home Theater yenyewe huenda walimpiga.
Watu tunaweka volume 20 tu ila mpaka mtaa wa nne tunapongezwa "hongera kwa sherehe".
Je ukiweka hadi 25 ilihali volume hadi 40 si hatari tupu?
Extrovert njoo huku umalize utata maana ninyi ndiyo wenyewe...
Sea Peano toleo la awali kuanza nao maisha geto 2009 Dar, bado una lolote?hakuna home theatre inayoizidi nguvu sea piano.
tofauti iko kwenye ubora wa mziki tu.
vile tumekuwa watu wazima tunaangalia ubora wa vitu sio ujazo(quality/quantity).kama utaweka 1/1 sea piano hapo na home theater pale,unaweza kujiona mjiinga kwa kutoa laki 750 badala ya kutoa 250,ila ubora wa mziki kutoka HT,utakufanya ujipongeze.
tukirudi kwa mada ya ndugu yetu.
kwa ziki la nguvu lenye ubora kama la sabufa Sound bar ni chaguo sahihi,kwa mziki wa kawaida unaotosha na matumizi ya kutizama movie HT ni sahihi zaidi.
tafuta kuanzia watts 600 SB hutajuta,wakati HT watts hizo ni lightweight sounds.