Kompyuta yangu imeanza kuniletea vituko vya aina aina. Iko slow sana, applications hazifunguki kwa haraka kama hapo awali. Kila mara ile alama ya 'hourglass' ya mouse inatokeza (meaning that there...
Wadau habari zenu....naomba kujuzwa software itakayoniwezesha kupiga simu kwa kutumia line yangu iliyo kwenye modem coz natumia modem ninayotumia haina option ya kupiga wala kupokea simu but...
kuanzia kwny vifurush vya uongo mpk matangazo feki yani voda expo..m nlijua 2 kuna kaujanja katafanyika 2 kwani ckumuona m2 aliyenunua cmu yoyote ambayo ipo ktk discount list bali wa2 walinunua...
nina tumia nokia x2 nimedownload whatsapp ilaa nkiingza namba inanambia hivi 'Could not connect to server:certificate was issued by unrecognized entity'dah nimeshindwa cha kufanya
Nikiwa naitumia inachukua mda mrefuuu....... hata
niwe natumia opera
kudownload ndo sijawahi kabisa , maana mpaka chaji inaisha,nakuwa bado sijamaliza kudownload
niko dar ila siamin kama...
Chief Mkwawa na wadau wengine naomba mnipe msaada wenu katika hili. Ni kwa bahati mbaya sijawahi tumia smartphone yoyote but i think its is my time now. Kinacho nipa shida nashindwa kuelewa ni...
Natumaini ni wazima wa afya.
Ninataka kununua smartphone inayotumia OS ya android. Naomba mnijuze ni ipi inapiga kazi vizuri ambayo nitapata good browsing experience. My budget ni 200,000 to...
There's this black screen that keeps popping up while I do my work, or anything on the computer, and it always appears after just a couple of minutes
Tatizo nini na ninaweza kulisolve vipi
Mtaalamu wa masuala ya miamba.
Kuna eneo nimepita porini karibu na msitu, nimeona mawe meupe mfano wa karatasi yapo kando ya kijimto kidogo na pia ndani ya maji ya hicho kimto kuna vichembe...
MAFUNDI UMEME WA MAJUMBANI NA OFISINI
WANAFANYA WIRING NA MATENGENEZO YA VIFAA VYA UMEME KAMA:
HEATERS
RICE COOKER
JIKO
FENI
PASI,n.k
Wanapatikana Nyegezi,Mwanza: 0756917972
KARIBUNI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.