Msaada: Nina Tatizo kwenye Kompyuta Yangu;Nashindwa Kufuatilia Ninachohisi

SHIEKA

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,244
4,258
Kompyuta yangu imeanza kuniletea vituko vya aina aina. Iko slow sana, applications hazifunguki kwa haraka kama hapo awali. Kila mara ile alama ya 'hourglass' ya mouse inatokeza (meaning that there is an activity going on in the background). Initially niliona kuna virus au malware fulani inafanya mazoezi kwenye system ya kompyuta. Nilirun antivirus yangu ya avast lakini hakuna kilichogundulika. Sikuridhika, nikarun programu ya anti malware: Spybot Search and Destroy nayo haikugundua kitu. Ndipo nilipoanza kuhisi lifuatalo: Kuna application inakula resource nyingi za kompyuta yangu. Je wataalamu, nipo sahihi kuhisi hivyo baada ya kukosekana kwa virus na malware?


Kama niko sahihi, je hiyo application nitaitrace vipi mpaka niifahamu? Mimi si mtaalamu wa kompyuta ila 'I can fumble about with computers and come out with a simple solution' I particularly like peering into the registry and effect some tweaks


Naomba sana mnisaidie hili tatizo la programmes kufreeze.
 
dude kama ni malware navyo jua mimi unatakiwa umtoe kwa njia ya manualy na si kutumia any of antivirus,na kuhusu nipe specification ya pc yako.
 
Unajua ukitumia lugha ya kitaalamu hivi halafu ukaomba msaada, watu wengi wanaogopa kukupa ushauri wakiamini kwamba kwa vyovyote utakuwa ni mtaalamu zaidi yao. Hata mimi nilitaka nikupe ushauri fulani lakini naona kama vile unayajua mambo mengi kidogo! :becky:
 
Nenda start andika Resource Monitor unaweza kuangalia kitu gani kinakula ram/cpu/disk read&writes
 
Unajua ukitumia lugha ya kitaalamu hivi halafu ukaomba msaada, watu wengi wanaogopa kukupa ushauri wakiamini kwamba kwa vyovyote utakuwa ni mtaalamu zaidi yao. Hata mimi nilitaka nikupe ushauri fulani lakini naona kama vile unayajua mambo mengi kidogo! :becky:

Hapana Jabulani.Mimi si mtaalamu wa mambo ya kompyuta ila ukinipa maelekezo ya nini nifanye nayaelewa bila shida kubwa. Hebu nipe hayo unayoyafahamu mjomba!
 
Last edited by a moderator:
Nenda start andika Resource Monitor unaweza kuangalia kitu gani kinakula ram/cpu/disk read&writes

Asante Kang. Nimefuata maelekezo yako kwa kutaipu Resource Monitor kwenye Start >Run. Kinachotokea ni page iliyojaa aina nyingi za .dll. Nifanye nini kwenye hiyo page?
 
Last edited by a moderator:
mkuu hujasema unatumia version gan ya windows

kwa windows 8 its easy bonyeza ctrl+alt+delete then chagua task manager halafu click chini more details utaona kila apps na asilimia ya ram, processor, hard disk na network inayokula

kwa windows 7 alivokuelekeza kang ni sawa ila kama hujaipata fanya hivi

click ctrl+alt+delete

click task manager ikifunguka click perfomance

then kwa chini utaona resource monitor iclick itafunguka
 
kuna vitu vingi ambavyo huwa vinachangia system nzima ya computer kuwa slow kama unavyosema,mojawapo ya hayo ni rough arrangement of folders,unakuwa na folder nyingi ambazo zina mahusiano lkn hazipo mahali pamoja,utapofunga moja kwenda kusaka ingine computer inazunguka so angalia arrangement yako
2.Kama unatumia softwares nyiingi saaana za aina tofaut tofaut hasa startup softwares(zile zinazowaka wakati os inawaka)hilo ni tatizo zitoe au punguza kabisa zinatumia memory na zinachosha computer
3.jaribu kutokurun antagonistic softwares pamoja hizi si tu ni tatizo lakin utakuta zinafight for memory making progress easy mfano kuwa na antvirus mbili n.k
 
Kama unahisi Computer yako ina Virus jaribu ku Download and Scan by using Malwarebytes Anti-Malware bonyeza hapa Download Malwarebytes Anti-Malware 1.75 - FileHippo.com na ingine hii hapa Download na Scan by using Super Ant-Spyware bonyeza hapa Download SuperAntiSpyware 5.6.1040 - FileHippo.com

Download Autoruns for Windows v11.70 bonyeza hapa Autoruns for Windows

Tumia pia hii program bonyeza hapa Fix Windows system performance problems on slow Windows computers


How to Disable Windows Startup Programs





221114-windows7_180_original.jpg
When you start your computer, Windows isn't the only program that loads. For instance, you may have noticed icons in the notification area (also known as the system tray) in the far-right portion of the taskbar. These icons often represent programs that start when the system starts. You also may have seen certain programs, such as software for syncing your phone or MP3 player, launching themselves along with Windows. Additionally, some applications begin running silently in the background every time you boot the PC.All of these automatically opening programs consume system memory, and can drag down performance. Fortunately, managing startup programs isn't difficult; by taking a few steps, you can find out what is running on your computer and disable the items you don't need.

Method 1: Configure a Program Directly


If you've noticed a program starting automatically, and you want the behavior to stop, sometimes the easiest solution is to explore the program's settings directly.

1.
Open the program.

2.
Find the settings panel. Typically it will be available under a menu labeled Settings, Preferences, Options, or Tools.

3.
Find the option to disable the program from running at startup. The language for this type of option varies, but it should be easy to find if it exists.
When you restart the computer, the program will no longer launch. You'll still be able to start it manually, so don't be deterred if the application asks you if you are sure you want to disable its automatic startup.

Method 2: Use the System Configuration Utility (MSConfig)


You can use msconfig.exe to change Windows' startup items.
msconfig-5222490.png


The System Configuration Utility--also called MSConfig--is a useful tool for understanding and controlling startup programs. Microsoft intends MSConfig to act primarily as a troubleshooting tool, but its simple and powerful interface makes it a good option for startup management as well.

1.
Open the Start menu and type msconfig into the Search box.

2.
Click the msconfig search result. The utility will open in a new window.

3.
Click the Startup tab. You'll see a list of programs that start when your computer starts.

4.
To stop a program from automatically launching when you boot the PC, uncheck the box next to its entry.

5.
When you are finished deselecting startup items, click OK. If you made any changes, you'll be prompted to restart the computer. You don't have to restart it immediately, but the changes won't take effect until you do.
When you restart the computer, MSConfig will alert you to the changes. In the window that pops up, check the box next to Don't show this message or launch the System Configuration Utility when Windows starts, and click OK to prevent future alerts. You can always return to MSConfig to reverse the changes or make additional tweaks.

Warning


Use caution when disabling items in MSConfig. Many entries have names that aren't self-explanatory. Research each entry before unchecking its box; use the Web to search for the name of the entry, and to get an idea of its function. Without doing your homework, you could end up disabling an important application such as your antivirus program.

Other Methods


In Windows or in third-party applications, you can find more ways to manage startup programs. For instance, Microsoft currently recommends a utility called Autoruns, which is more advanced than MSConfig. The two methods above should suit your needs, but feel free to explore other options if you are curious.

[h=1]My computer is running slow what steps can I do to fix it? Bonyeza hapa My computer is running slow what steps can I do to fix it?[/h]
Ukifanikiwa usikose kuleta Feedback.



 
Back
Top Bottom