Habari wana jf mimi npo mbeya nilikuwa nahitaj gari sasa hivi kuna usalama wowote endapo utatoe pesa yako kwa mtu usiyemjua wala kumuona pili lets say lmefika sasa may be dar port gharama ya...
Hili bonge la game nimelishusha jana nalicheza kwa sasa liko poa ni a GTA-like game ambapo you can play either as a law enforcer or as a gang member. Kushusha uwe na connection ambayo ni unlimited...
Naomba msaada jinsi ya kutatua ili tatizo kwani kuna jamaa yangu mwingine ana simu kama hii lakini naona inafanya kazi kama kawaida. Ina latest software, na ndo nimeinunua siku si nyingi.
Facebook currently has 4 virus Attacks.
These attacks can get your Facebook Account Hacked
1) :- If you get a notice of a PHOTO TAG Do not open it.
2) :- If you get a notification that a friend...
Habari wakuu
Nina lumia 900 na nimekua nikijaribu kudownload java pasipo mafanikio,yaani nakutana na ambazo haziendani na Simi yangu,naomba msaada tafadhali.
yaan nimenunua simu mpya ni android lakini leo ya saba tena lakini internet imegoma kabisa kufunguka yaan nikifungua tu internet inaniambia web page not available au mfano nikifungua program...
wanajamvi ! napata tatizo kila ninapo connect na wifi inaniambia limite(no internet access) ipi ni solution katika tatizo hilo. maana net ya hapa nilipo ni bure na wenzangu wanafaidi tu...
Wadau,naomba kujuzwa kama naweza kupata kioo cha samsung galaxy s4,maana leo simu yangu imedondoka,kioo kimepata nyufa lakini inapiga kazi vizuri,but show ya kioo imeharibika,so nahtaji ushauri,au...
Nilikuwa katika kujaribu kuweka passcode kwa chanel ili vijana wawe na limit ya kuangalia baadhi ya chanel nimejikuta nimesahau hizo code. Je nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo.??
jamani sisco phone (7945) ya ofisini kwangu haifanyi kazi,imeandika registering na haimalizi kuregister,msaada tafadhali kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya utatuzi wa hili.​
habari zenuwa jf naomb msaada wa intrnet hii simu ni android version inatumia line 2 lakn kila nikifungua internet inakataa au sometimes inasema theres no sim card msaada tafadhal
Wale wapenzi wa Free Avast antivirus baadhi ya protection zimepunguzwa hadi hapo utakakapokuwa umeUpgrade from free to paid version. Yaani hawa jamaa wamekuwa kama vodacom na vifurushi vyao...
Jamani wandugu nimechoka kupambana kuendelea kuitafuta software kwa zaidi ya siku tatu sasa maana kunawakati mtaalam mmoja aliitupia humu jamvini nikainyonya lakini ni muda mrefu sana simkumbuki...
Heshima mbele
Naomba msaada kwa anayejua jinsi yakuondoa tatizo tajwa hapo juu bila kufanya rearm kwani nimeshafikia kiwango cha mwisho cha kurearm windows yangu. Natanguliza shukrani.
naomba suluhisho la tatizo kwenye laptop yangu ambapo kila nikiburn dvd au cd kwa ashampoo inaenda hadi mwisho na kuandika 'successful' lakin niki insert tena hiyo dvd inakuwa ni blank...
simu yangu inagoma internet yaan kabisa haifunguki nahc tatzo lipo katika acces poit had nikii edit manually lakn nikifungua kwa web ili nii select aaf niaze ku browse internet cha kushangaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.