Habari
wanajamvi,
Nahitaji program ya Testout kwa ajiri ya cisco i.e CCNA 640-802 bure au kwa kulipia no problem cha muhimu iwe inafanya kazi.Kama kuna mtu anayo tuwasiliane
Natanguliza shukurani...
Kutwa utasikia sijui Samsung kamshitaki Apple kwa kuiba idea yao ya kamera mara umbo nk nk
Lakini kuna hizi kampuni zinatengeneza Samsung fake, kwanini hazikamatwi? Hata kama ni za uchochoroni...
I know everybody here is using Google as a search engine. I agree, Google is popular, but I think Bing is better,, Just try to search something , one same thing using both of them n the results...
Nifanyaje kuformat memory card ambayo nikiformat kwenye pc nikaiweka kwenye cm tena inarud vlvl yaan kama haijaformatiwa.
Nimekua nikirudia hl zoez lakin wap?
Msaaada plzzzzz
Wakuu kuna kuyumba fulani hivi kwa sauti hasa unaposikiliza kwa makini muziki/wimbo.Yaani sauti inakuwa inashake fulani hivi kama betri zimechoka vile! Usiposikiliza kwa makini huwezi kugundua ila...
Msaaada!! Mwenye charger adapter ya laptop aina ya belnea o book 1301, naomba aniuzie au anijulishe ni wapi nawezakupata hiyo adapter....natanguliza shukrani nyingi sana
Kuna siku niliona mtu kapost kuhusiana na e-bay na kuna watu walikua wanahofu nauoga balaaa sasa kipindi hicho mimi nilikua nimeagiza smart tv kwa $ 700 na nilifanya hivyo baada ya kufanya utafiti...
wakuu,
naona shimo limetema. sasa bbm inapatikana kwa android, naskia kwenye play store wameshaiweka(non-samsung android phones), ila mimi nimeipata kwa kufungua native browser nakuandika: BBM...
Natanguliza shukrani kwenu.
Wadau naomba msaada wa jinsi ya ku-unlock simu tajwa hapo juu, ni simu niliyotumiwa toka nje ya nchi sasa kwa huku haikubali laini yoyote. Inatumia Android version 4.0.3.
I know this is rather awkward, hapa mnaexpect either niwaulize swali ama nijibu, bt today I decided to break off,, Nalala leo mapema(huwa nalala huko ma saa sita),, hivo basi nawawish wote...
1. Go to setting> security> unknown sources to mark
2. Go to appdroid.ws/appdroid_for_android and download Appdroid application and install
3. Launch Appdroid and search any Android Apllication...
nadevelop theme kwa ajili ya website yangu. theme ni responsive ila ikiwa in mobile mode menu haitokei. wataalamu hebu mnisaidie. natanguliza shukrani
cc Young Master, stefano mtangoo, Kang...
Wadau naomba msaada wa kuchakachua modem ya vodacom hi-link ndo nimenunua leo inaweza maelezo na jinsi ya kufanya ilishatolewa ial sikuwai soma maana sikua na interest nayo mpaka leo nilivyonunua...
Ndugu habari zenu, natumaini mu wazima. ningependa kujuzwa kuna baadhi ya watu hasa wenye email adres za yahoo ambapo nimekuwa nikiwasiliana nao na mwsho jumbe zao hutokea majna yao kamil namba...
Wanajamii tafadhali msaada wenu nauomba nimenyanyasika vya kutosha. Mimi niko Congo Kinshasa nina line ya Voda ya Congo awali nilikuwa natuma sms bongo bila tatizo zinafika. Lakini sasa ni wiki ya...
Habari wakuu,
Nina ka android cheap device from china,internal memory imejaa ila nimeweka SD-Card ya 8GB,Tatizo nashindwa kudownload More Apps
Naombeni mnisaidie jinsi ya kutatua hili tatizo hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.