Ni majuzi tu nimeingiza flash yangu kwa job-mate wangu hapa kazini kuchukua kazi fulani nilikuwa nahitaji, cha kushangaza nilipohamisha kwenye laptop yangu ni full kuona mafolder yote na mafile...
Mimi ninaweza kudesign hayo mabango lakini sijajua wapi nitaprint kwa hapa dar.. Ni wapi wanapo
print mabango makubwa ya kutangaza biashara yako,kama hili hapa chini,,,na bei yake ni shilingi...
Kwa wale ndugu zangu ambao ni magames addict nadhani mko aware kwamba fifa 14 is out, so kwangu ni swali tuu nani anafifa 14 Pc Game, kama unayo naomba tuwasiliane. :thumbup:
wanajamvi.... leo nimepata kitu cha S3 hamu yote imeniisha baada ya kuambiwa natakiwa nikate line iweze kuingia... vp napata wasiwasi nisiwe nikawa nimeuziwa feki naomba ushauri kuhusu hili je ni...
Nashindwa kuona list ya databases nilizotengeneza kwenye (ubuntu 12.0.1).
lakini nikifungua kwa phpmyadmin naziona hizo databases zangu
apokuwa nalog in kama root.
I am getting the following...
Kichwa cha uzi chahusika.Nahitaji laptop mpya kwa matumizi ya shule.Specs zake ziwe angalau hizi au zaidi
Processor kuanzia 2.0
Hdd kuanzia 500GB na kuendelea
Ram kuanzia 2GB na kuendelea...
Habari wanajamvi;
Guys naomba mnisaidie wapi ninaweza kununua STICKERS kwa ajili ya kubandika nyuma ya screen ya laptop yangu. Naombeni msaada wandugu!
Niaje wakuu,
Wakati na download software flani hivi (PC optimizer pro) nilijikuta nimedownload pia hii software inaitwa simple files. inafanya kazi kama torrent client lakini tofauti kuu ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.