Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ni vyuma vya pelleting machine vimeshika sana kutu hivyo nataka kuvirudisha kwenye hali yake ya kawaida
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wakuu endapo Nitakuwa na app na kifaa nilicho ainisha hapo chini je endapo nitainunua app nitafanikiwa kuscan code za gari yoyote Ile ambayo niyakuanzia 2000. Note nataka iwe kama huduma ya kibiashara
0 Reactions
9 Replies
747 Views
Habari wanajamvi, Natumai siku hii ya alhamisi imeenda vizuri. Binafsi Mungu amenipa uzima na nia ya kuandika hivi nnavyotaka kuvidondhosha hapa. Nilikuwa namsikiliza dada mmoja Youtube leo...
2 Reactions
2 Replies
629 Views
Ukipata ukifanikiwa usisite kunibless ata ya soda basi dah! Wana mna roho ngumu haki ya nani! 😂👇👇
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Maswali yangu 1) Ni Kampuni gani inaweza kunitungia Fibre au huduma ya internet kwangu ambayo Ni affordable zaidi 2) Je, kifurishi au package kwa mwezi inakuwaje 3) Je, idadi ya watumiaji ikiwa...
2 Reactions
49 Replies
6K Views
Habarini ndugu zangu Niende kwene mada,nina simu yangu ambayo kutokana na uwezo wake kuwa mdogo niliamua kununua memory card Ili niweze kuongeza storage katika simu yangu.Nilipoweka hio memory...
0 Reactions
7 Replies
709 Views
Binafsi najifunza programming just for fun and enjoyment ya kupata maarifa mapya. Nimeanza na HTML pamoja na CSS kadri siku zinavyoenda tutapeana updates ya jinsi darasa linavyoenda. Site...
2 Reactions
88 Replies
7K Views
OpenAI, the creator of ChatGPT is back with a new text-to-video AI generator Sora. It can create videos of up to 60 seconds featuring highly detailed scenes, complex camera motion, and multiple...
1 Reactions
4 Replies
940 Views
Ni vitu gani nizingatie nikiwa nanunua router kwa ajili ya matumizi ya ofisi kwa wastani wa watumiaji 300? Naomba msaada ni jinsi gani naweza kuziona hizo specification.
0 Reactions
5 Replies
878 Views
Hakikisha unatumia vidokezo hivi vya Android ili upate mengi zaidi kutoka kwenye kifaa chako. Idadi kubwa ya mbinu na vidokezo vyenye manufaa vilivyofichwa ndani ya vifaa vya Android ni sehemu...
4 Reactions
4 Replies
30K Views
Niaje wananzengo? Direct to the point. Kwa wale waumini wa apps ambazo zinahitajika kufanya manunuzi ili upate baadhi ya huduma, karibuni sana hapa. Utapakua apps unazozitaka na hata games...
4 Reactions
82 Replies
11K Views
Habari WanaJF, Nimeandaa hii tutorial kuwasaidia watu wenye ofisi ndogo ndogo na watu binafsi ambao wanataka kuwa na website kwa ajili ya biashara zao au matumizi binafsi lakini kutokana na...
44 Reactions
114 Replies
64K Views
Habari wadau, Matangazo kwangu mimi yamekuwa kero kubwa sana. Yaani huwezi fanya jambo bila kukutana na adds, apps ambazo haina adds ni Whatsapp, Insta na X. Zingine kufungua kabla hujafanya...
2 Reactions
7 Replies
769 Views
Siku za hivi karibuni imetokea ajali ya treni mkoani Morogoro, ajali hii imehusisha basi dogo aina ya coaster linalofanya safar zake Kihonda - Mjini na treni la abiria linalofanya safari za Dar -...
7 Reactions
101 Replies
27K Views
Mwenye swala lolote katika maswali ya AI ili tuweze kushare knowledge
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Posta inakwama wapi?? Katika pita yangu mtandaoni mwezi wa 3 mwishoni nikadownload App ya posta ukweli huduma za posta nazihitaji na hapo awali nilikuwa nikitumia sanduku la rafiki yangu katika...
1 Reactions
2 Replies
516 Views
Hii router inahitajika. Mwenye nayo ajitokeze.
1 Reactions
4 Replies
568 Views
Kwa sasa, vifaa vingi ambavyo vinatumia port ya USB Type C ambazo ni latest, zinatumia aina ya USB Type-C 3.2 ambayo ina Max speed ya 20GB kwa sekunde. Teknolojia inazidi kubadilika na dunia...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za mida, Naomba kusaidiwa router gani ni nzuri kwa matumizi ya taasisi ambayo inakuwa na watumiaji 500 kwa mara Moja wakiwa connected kwa wired na wireless? Na kipi natakiwa kukiangalia...
3 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom