Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

  • Question Question
Mashine yangu aina ya CANON IR 2204 inatoa copy za namna hyo. Nimejaribu kubadili drum, roller na hata blade lakini hali bado ndo hyo mnaiona hapo chini. Nifanye nini wadau? Nakufa njaa...
0 Reactions
0 Replies
399 Views
Habari wadau, Nataka kununua hizi camera zenye muonekano wa bulb (taa) ili nizitumie kama CCTV kwaajili ya ulinzi nyumbani kwangu na eneo la biashara. Naombeni ushauri wadau kuhusu ubora,uimara...
1 Reactions
7 Replies
821 Views
Computer yangu HP inaniletea haya maandishi shida inaweza kuwa nini please
0 Reactions
2 Replies
314 Views
Ni waya gani sahihi wa kuunganisha mota kutoka kwenye mcb pia nataka kujua huu waya kwenye picha hapa chini ni milimita ngapi
0 Reactions
9 Replies
899 Views
Hivi ipi simu bomba kati ya hizi, nahitaji yenye speed ya internet, camera nzuri na uhifadhi wa moto mzuri, kwa kiwango changu nahitaji za viwango hizi 1. Samsung S 10 2. Redme note 12 c 4. Aquas...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu? Naomba kujua endapo kuna mtu huwa anafanya malipo yake kwenye POS machines kwa kutumia simu ambayo tayari ina support matumizi ya NFC(Near Field Communication) Technology. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
734 Views
wakuu kwema hapa nina changamoto moja hivi nahitaji home internet ila option yangu ni kati ya vodacom na airtel ambayo wote wana vifurushi vya unlimited kwa mwezi vya 5G wakuu naombeni msaada...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Msaada jinsi ya kuedit pdf document
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari wanabodi, Shida ya hii forum unaweza kuomba ushauti mijitu inakutazama tu[emoji706] Twende kwenye Mada TZ na dunia nzima wafanyabiashara na wanunuzi wanakutana na barrier ya uaminifu.Hasa...
3 Reactions
46 Replies
2K Views
Habari wadau naomba msaada. Je paypal unaweza kulipwa pesa yako ukiwa Tanzania? Na je, webmoney kwa Tanzania inafanya kazi?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii simu ilipata new vison. Baada ya kudownload, ikazima na kujiwasha kama simu nyingine . Ilipowaka ikataka network ya data au wifi. Ukiwasha hotspot inakubali na ina pair kabisa. Ila haikubali...
1 Reactions
10 Replies
713 Views
Habari wanaJF, Naomba msaada kijana wangu nimemtafutia simu aina ya Tecno pop 7 shida ipo kwenye sms anapotaka kutuma ujumbe Inacomand atume Kwa lakini Moja tu na haimpi choice ya line either 1...
3 Reactions
17 Replies
956 Views
Ili usonge mbele au uishi kwa raha lazima kuna vitu uvi cut (ondoa),Block, au uvipige ban si kwa ubaya ila kwa afya ya akili yako na amani ya moyo! Vitu hivi vinaweza kuwa vinakutia stress, au...
6 Reactions
145 Replies
6K Views
Makampuni mengi unlimited yanatoa TB 1 hasa kwenye vifurushi vya chini kwa matumizi ya nyumbani Mtu analalamika 1 tb ndogo na tunajua kibongobongo wengi hawatumii net kufanya backups, kutumia...
10 Reactions
28 Replies
2K Views
CHANGAMSHA UBONGO
3 Reactions
59 Replies
4K Views
Ni kwanin kompyuta zenye apu za processor ya intel iwe na gharama zaid ya processor za amd ryzen, wakat specs zngne kama processor speed, ram,rom na generation zko sawa
1 Reactions
7 Replies
724 Views
Naomba mnisaidie app au website ambayo naweza kupakua hd movies kwenye simu ya android
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa kazi zangu za mtandaoni mara kwa mara na sim yenye kasi na uwezo wa kuhifadhi vitu vingi na inayokaa na chaji sana nishaurini tafadhali ninunue sim gani kwa hiyo bajeti
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Jamani out of nowhere tu TV yangu aina ya Skyworth imezingua na kuzima na ukiwasha inaanza kisha kuzima tena; Fundi kaja ananiambia iyo internal system yote inabidi ibadilishwe 180k; yaani mafundi...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Hello Natafuta mtu anaeweza kunitengenezea Script ya Python au Java itakayonisaidia kujaza taarifa kutoka Excel kwenda Mtandaoni.
0 Reactions
2 Replies
443 Views
Back
Top Bottom