Dunia inaingia katika aina mpya ya USB4 toleo la 2.0

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,370
8,106
1664120351050.png

Kwa sasa, vifaa vingi ambavyo vinatumia port ya USB Type C ambazo ni latest, zinatumia aina ya USB Type-C 3.2 ambayo ina Max speed ya 20GB kwa sekunde. Teknolojia inazidi kubadilika na dunia imeingia katika mfumo mpya wa USB 4 na sasa ni toleo la 2.0.

The USB Promoter Group ni kikundi cha wasimamizi wa umoja wa port ya USB (ni muunganiko wa kampuni ya Apple, Microsoft, HP, n.k); zimetambulisha aina mpya ya USB4 ambayo ina uwezo mkubwa mara mbili ya USB4 ya kawaida na kuizidi speed Thunderbolt 4 ambayo ndio port ya USB iliyokuwa inaongoza katika speed.

► Mabadiliko makubwa ya USB4 toleo la 2.0 ni speed kubwa kuliko port za USB-C 3 za kawaida na Thunderbolt 4. Speed yake ni mara mbili ya speed kubwa iliyokwepo.

► Pia cable na port zote za USB 4 version 2.0 zitaendelea kukubali cables za USB 3, USB 3, USB 1 bila matatizo lakini speed yake haitakuwa kama ya USB4.

⚡️ Aina hii mpya ya USB itaanza kuingia katika vifaa mbalimbali kuanzia mwezi wa 11 mwaka huu. Hivyo tutegemee itawekwa katika simu kubwa za 2023.

#Tetesi zinaonyesha Apple ni miongoni mwa kampuni ambazo zimeshiriki katika kuunda aina hii mpya ya USB Type-C; inawezekana iPhone 15 ambayo itatoka mwakani itakuwa na aina hii mpya ya USB-C.
1664120281359.png
 
Sawa kiongozi.
Uwe una tuletea Technologia ya Kujipanga na Polisi. Make naona Tz, polisi ni tishio kuliko Panya Road
 
View attachment 2367881
Kwa sasa, vifaa vingi ambavyo vinatumia port ya USB Type C ambazo ni latest, zinatumia aina ya USB Type-C 3.2 ambayo ina Max speed ya 20GB kwa sekunde. Teknolojia inazidi kubadilika na dunia imeingia katika mfumo mpya wa USB 4 na sasa ni toleo la 2.0.

The USB Promoter Group ni kikundi cha wasimamizi wa umoja wa port ya USB (ni muunganiko wa kampuni ya Apple, Microsoft, HP, n.k); zimetambulisha aina mpya ya USB4 ambayo ina uwezo mkubwa mara mbili ya USB4 ya kawaida na kuizidi speed Thunderbolt 4 ambayo ndio port ya USB iliyokuwa inaongoza katika speed.

► Mabadiliko makubwa ya USB4 toleo la 2.0 ni speed kubwa kuliko port za USB-C 3 za kawaida na Thunderbolt 4. Speed yake ni mara mbili ya speed kubwa iliyokwepo.

► Pia cable na port zote za USB 4 version 2.0 zitaendelea kukubali cables za USB 3, USB 3, USB 1 bila matatizo lakini speed yake haitakuwa kama ya USB4.

️ Aina hii mpya ya USB itaanza kuingia katika vifaa mbalimbali kuanzia mwezi wa 11 mwaka huu. Hivyo tutegemee itawekwa katika simu kubwa za 2023.

#Tetesi zinaonyesha Apple ni miongoni mwa kampuni ambazo zimeshiriki katika kuunda aina hii mpya ya USB Type-C; inawezekana iPhone 15 ambayo itatoka mwakani itakuwa na aina hii mpya ya USB-C.
I love technology.
 
Wafanye wawezavyo maana si huwa tunaletewa tu.

Hatuna uwezo wa kutengeneza hata vijiti vya kuchokonolea meno, kazi yetu kuhubiri kwenye mabasi. Tukizidi sana tunabuni kuongeza tozo.
 
Back
Top Bottom